Ambition Plus ni chaneli ya kiswahili inayojihusisha na utoaji elimu ya biashara kwa njia ya mtandao. Chaneli hii ni kwa ajili ya kutoa hamasa, kuangazia fursa na kuanika ukweli wa mambo mengi ambayo ni mageni kwa watu hasa wafanya biashara na watu wanao tamani kuingia kwenye biashara.
Ambition + pia ni chaneli iliyojikita katika kupigania vita ya ajira kwa vijana ambao hawana ajira, na ambao wapo kwenye ajira lakini hawaoni mwanga wa mafanikio. Ajira ni changamoto mpya kwa vijana wengi wanaomaliza vyuo na mafunzo mbali mbali, Ambition +itakuonyesha ni namna gani unaweza kuitumia elimu yako kupigania maisha yako na kufikia mafanikio.
Pia imejikita pia katika kuwafundisha watu tofauti juu ya namna ya kutumia mtandao (internet) kujiingizia kipato na kuondoka kwenye wimbi la utegemezi. Katika dunia ya leo biashara nyingi zimekuwa zikifanyika mitandaoni lakini changamoto ni watu kukosa uelewa wa namna ya kutumia mitandao kufanya biashara hizo. Ambition plus tupo kwa ajili yako
Umitaja shule tano Bora Tz hatuwezi kuiacha St Francis, ukitaja shuke tatu bora huwezi iacha St Francis ukitaja shule mbili bora huwezi kuiacha St Francis ukitaja shule bora Tz..........?
Sasa jaman mabro na massta n chuo gan kizur kitaaluma,kimaradhi,na maixha kiujumla? Tujuzen jaman man cc wahtimu wa juzi apa tucj tukachagua vyuo ambavyo vna hard life