Mbona huko kwao Zanzibar hatusikii chochote alichokiuza, ina maana wao hawataki faida? Kuna watu hapa miaka ijayo watakuja kutafuta pa kwenda kuishi kwa madudu yao wanayotufanyia Watanganyika, Tanzania ni kivuli cha kutupora raslimali zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu, iko siku tu
Ukimwamgalia vizuri Makala ni kama anaumwa! Sasa hapa nakaribia kushindwa kukadiria nani sterling wa maigizo nchini, Makonda au Makala? Ila sitachoka kuwakumbusha watanzania ndgu zangu, maigizo: Mwenezi Makonda na ziara nchi nzima na kuacha ziara ghafla huku wananchi waliotiwa matumaini wakibaki wameduwaa. Halafu sauti ya kuita: Makonda, naam mama CCM, ebu jifiche siku kadhaa, sawa mama, Makonda anatii na kujificha! Baadae picha ianaendelea: teka watu, wapige viongozi/wafuasi wa CHADEMA, mnunue "mchungaji" Msigwa, na ya leo leo: mpige kwanza Lissu halafu mpe "zawadi!" Na mengine maigizo yaja, tujiandae! Ni ili tusahau: kashfa ya sukari Mpina vs Bashe, umasikini na maisha magumu umma unaogelea, deni la taifa linalopaa, ufusadi wa mitaifa na kimataifa (ripoti za CAG), upigaji bwawa la mwl. Nyerere na SGR ya Magufuli, mikataba tata bandari na raslimali za taifa. Tukisha yasahau haya utawala na mafisadi wanaendelea kula bata!
Msikimbilie kukuta uume.serekali iweke mikakati na jamii kwa ujumla .tuishi kimila zaidi .serikali iache ktetea ukiukwaji wa maadili kwa kuingiza utamaduni wa nje mfn eti mtoto akipata mimba kuendelea na masomonamitindo ya mavazi ,watu wazima kufanya ngono na watoto bila kuchukuliwa hatua .uhuru usio na mipaja..serikali jamii jioangeni upy
Hapa naona kweli Kuna tatizo kubwa Sana hizo ni Imani za kijinga Sana na upumbavu . Maisha ya kishirikina na kuamini Hawa waganga katika jamiii nitatizo kubwa Sana. Jaribu kuona hiyo siyo akili ya kawaida kabisa. Maagano hayo yakutafuta maisha mazuri bila jasho ndyo mitego hyo. Mtoto wako mbegu zako kutoka kiunoni mwako Kama mwanaume. Unashindwa kuona hata sura ya upendo na huruma kwa kiumbe Kama hichi. Hyo mbele ya Mungu na malaika afai. Hata katika jamii yetu ni zaidi ya shetani. Mungu anaona yote na amesikia kilio Cha hyo malaika wake yeye ni Mungu anayo majibu yote.
Mm kwa ushauri wangu ,,Mtu yeyote akikutwa amebaka na kulawiti ,,wamuhasi ili hasije lawit na wengne ,,iwe atafungwa baada ya kutoka ataendelea ,, wamuhasi bhass🙅
asanteni sana kwa kumpa lisu gari jipya la kifahari je nakuuliza makala je serekali ya Samia mbona aiwapi vijana uwezo wa kujiajiri je nakuuliza amosi kwa yule masikini pale kijijini anafaidaje na ilo liprado la LISU akuna je nakuuliza wewe makala wamachinga Bado mnakimbizama nao tunawangokea njia panda mkituambia ya ya gari la LISU aiwasaidii vijana wakitanzania ambao Awana Cha kujivinia Awana ajira pia Awana mashamba walime mazao ya chakula na biashara kazi kubwa ya Samia na CCM yake ni. Kuwaleta wageni nakuwapa uridhi wetu waarabu tutageuka tuwe sumu kwa maana iyo CCM inaendelea kugandamiza je nakuuliza CCM ni kitugani je nakuuliza CCM ni ya nani je nakuuliza wageni wataipigia CCM kura jibu ni apana nawauliza ninyi angalieni sana mnae ndani ya bunge wamekaa apo kwa masilai yao sio kwa masilai ya wanyonge tuwapende raia kwasababu ndio nchi yetu isiwapende wakati kampeni tuuu mpaka wakati washida waktiuwo mnakuja mbele yao mmevaa miwani ya Giza na Bado Arusha mumetufinga kama tonge la ugali lakini tunawaambia nendeni kwa sakikya mkamsalomie wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde yetu msilale Tena kimekucha