BONGO BOXING SAFARI Its an informative reliable channel and platform for all boxing activities (Professional and Amateur) news, get to know Boxers and many funny boxing contents across East Africa especially TANZANIA. Our news are professionally prepared considering rules and regulations of journalism.
Ni channel ya uhakika inayotoa taarifa juu ya mchezo wa ndondi (Masumbwi) Africa Mashariki na kwa undani kabisa Tanzania kwa ngumi zote za kulipwa na ridhaa kwa ubora unaozingatia maadili, sheria na taratibu za uandishi wa habari.
Sasa wenye kosa ni Azam na walikosea kweli wamlipe mwenye wazo lake hawa wanalalamika hawakuwahi kupeleka hata hilo wazo. wao walikuwa wanapigana tuuu wazo la mtu liheshimiwe
ihi ndobongo bhan kwenye swala la michezo mpiratu ndio wameona wa mahana natimu zetu zikienda mbele zina fungwa mngepushi ata michezo mengine bs kama boxing ilikuwa ishakaa kwenye reli
Mimi ninawashangaa Sana! Sijui mnamlalamikia Nani!! Baresa hakufungiwa Bali Ni uamuzi wake mwenyewe hivyo mlitakiwa kwenda kwake na kumuomba asisuse kuonesha kwasababu Kuna watu wamedai haki yao. Mtu wamepoteza muda wake akakaa na kutengeneza proposal yake na kumpelekea Azam Kisha Azam akamzunguka na kujinufaisha na hiyo nproposal halafu mtu anadai haki yake ninyi mnamtukana heyi mtampiga za kidevu!! Tumieni akili zenu vizuri wacheni uwakala hata TBC1 pia inaonesha vitasa au hamjaona? Mmezoea kubebwa na Sasa tutaona uwezo wenu wa kweli😅😅
Sasa ww jamaa kaishataki azam kwa maisha yake nyie mnamlaumu msiangalie maishayenu tu muangalieni na yeye napia kama mzushi mahakma sizipo muachench apambanie haki yake azam sio mungu bhna
MABONDIA WA DAR'' MNALIALIA MMEZOEA CHELEKO'' MLIONA NGUMI ZA KWENU'' BADILIKENI WALA CHIPS ' '' SOOON MTAANZA ONA LIVE DODOMA TV CHILIHAMONGA'' MTAJUA HAMJUI
Kwahiyo we dada inamaana hiyo 2014 uliyoanza ngumi na hukujulikana hadi 2024 ndio ukajulikana kupitia Azam inamaana Azam haikuwepo hiyo 2014?Mkikaririshwa maneno mkariri kwanza kabla ya kuita media!!
Kama mtu ameshinda kesi tena kwenye taasisi kubwa kama azam kosa liko wapi hapo hakuna ubaya ila kwa maoni yangu azam wamalizane nae tu alafu mambo mengine yaendelee kuliko mabondia kutangaza ubaya kwa watu ambao wamepeleka propozo yao na ikafanyiwa kazi na kufanya ajira ktk ngumi
Apo ndo seem inayowatofautisha mabondia wengi na mwakinyo ,mtu anaongea kitu bila kutua mtu anayemzungumzia ndiye aliye sababisha Azam kufata wazo lake wao kuwa ivyo Azam pekee awakuwa na wazo la kuwainua mabondia
Mbona mnasema tamaaa wakati Amosi ameishtaki azam kudai haki yake kosa lake lipo wapi kama ungekuwa wewe mfaume na njaa zako usingeenda kudai haki yako swala hapo kama azam wamejotoa ni swala la azam wenyewe mfaume bado ujakuwa kifikra eti utachukua uamuz mbaya huo ni ujinga
The guy is very smart, iliwapasa kabla ya kumsikiliza na sio kumjandia kila siku, jamaa amelipeleka swala kisheria kabisa, issue sio kuangalia issue ni wazo lake kuibiwa