Ukiiskiliza hii story unajua hii chanel yakomba view na kugombanisha wa zanzibar na wabara maana kijana ambae anasema alikuwa mjanja mtaani mwao alikuwa wa mwanzo kutumia facebook kipindi hicho alishindwa vipi kuhifadhi namba za wazazi wake na huyu mwanamke kipindi anaishi kwao je alikuwa hawasiliani na wazazi wake halafu mjanja huyu huyu wa fb anakuja znz tena bila simu Halafu anasema anakaa na wadada 4 muda wote anosema kama wadangaji wanashindwa kila moja kumpa 5 akarudi kwako mpk akaamua kukaa mda wote huko itoshe kusema huyu jamaa si shoga
Tafuta biashara ufanye usifanye ivoo😢😢😢lakin kiukweli wanawake wengi wanapitia hiii Hali wanaume mnadhima kubwa unaitekeleza familia yako sababu matamanio😢😢😢😢