Dahh yarabi waongoze hawa waja wapotevu waione hakki,kiukweli kama unanduguyo msufi mlinganie atoke huko kabisa maana shetwani anawadharirisha kweli dini ya kucheza ndombolo kama koffi olimide au kukata mauno kama diamond so dini ya mtume muhammadi na swahaba zake ni dini ujinga wa watu tuuh na ndiomana wahabi hawataacha kupiga vita haya
Jamani hatuna tafauti na Shetani Yaraby tustiri Na Kizazi hichi jamani tunakwenda wapi hii si kupenda Mtume laiti mwenyewe angalikuwa hai haya yasingalifanyika kabisa
Kasome kwanza kisha ndio utajua kinacho fanyika apo ni sahihi au si sahihi ila km wataka kujua zaid nitumie no yako nikupe hadith sahihi ya mtume wakicheza km hivo masjid ama hayo ya ngoma ya dufu uwanja wake mpana sina fatua nalo lkn mchezo wa kijesh km hivo wamechez