Тёмный
AfroSwagga
AfroSwagga
AfroSwagga
Подписаться
Fashion, Beauty and Lifestyle channel
Celebrities Best And Worse Looks
1:54
2 месяца назад
Irene Uwoya's Unique Shoes Collection
2:22
3 месяца назад
Marioo Na Paula Maternity Photoshoot Review
1:19
4 месяца назад
Fanya Haya Kuonekana Elegant
1:39
4 месяца назад
How To Look Good In T-Shirt & Jeans
1:49
5 месяцев назад
Fanya Haya Kunukia Vizuri Siku Nzima
1:50
5 месяцев назад
Stylist Na Wabunifu Hawamuoni Yammy?
0:47
5 месяцев назад
Rayvanny Anunua Vazi Hili Kutoka Louis Vuitton
1:01
5 месяцев назад
Комментарии
@RamadhanOmali
@RamadhanOmali 22 дня назад
Majeshi komed
@carohkilonzo4688
@carohkilonzo4688 3 месяца назад
Weweeeh hamisa kwa mavazi si mchezo
@marthakyando3152
@marthakyando3152 4 месяца назад
The way nime rush kuja huku cuzn na deserve pole😂😂😂
@afroswaggatz
@afroswaggatz 4 месяца назад
😂😂 pole Cuzzo tukupe mkeka ukae na maji unywe
@hirschyount5281
@hirschyount5281 4 месяца назад
"Promo sm" 💪
@user-yb1mv2nx6m
@user-yb1mv2nx6m 5 месяцев назад
♥️♥️♥️
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 5 месяцев назад
Kwan huy kaka kabila gn
@arthurbailey3796
@arthurbailey3796 8 месяцев назад
'Promo SM'
@anziiism
@anziiism 10 месяцев назад
I love Zuchus dressing..shes expressing her art. We love her
@PaulNzima-pd8il
@PaulNzima-pd8il 10 месяцев назад
Man of the moment... Mbosso Khan 🔥🔥🔥🔥🦁🔥
@HusseinyKalanga-jh9gh
@HusseinyKalanga-jh9gh Год назад
Fundi kama fundi daah ila wema kaeli kazingu hapa hta mm naunga mkono
@AminaAbdul-iw9yn
@AminaAbdul-iw9yn Год назад
Safi
@AminaAbdul-iw9yn
@AminaAbdul-iw9yn Год назад
Jamani hii kitu imeishia WAP MBNA hatuoni tenaa kpndi hiki cha fundi
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Kaa tayari wiki hii inakuja show ingine dear.
@mohamedtamla826
@mohamedtamla826 Год назад
Hongereni sana afroswagga mkoa vzur sana
@mohdzotv2676
@mohdzotv2676 Год назад
Gari limewaka Sasa hta mmi maua yangu Nampa Ireen p✈️
@teamgachi2004
@teamgachi2004 Год назад
Hakika
@teamgachi2004
@teamgachi2004 Год назад
Na Mimi Natoa maua yangu Kwa iree. Poul kiukweli kapendza sana jamani
@teamgachi2004
@teamgachi2004 Год назад
Jua kweli kina Waka ila dada Angu wema sepetu kwenye hili kazngua wallah kazngua hta mm Nampa ⁰
@khadijahassan1946
@khadijahassan1946 Год назад
Nawapenda Sana afroswagga maana nimeamua kuja njie kama njie hamkutaka kukop na kupest kama vipndi vingi vilivyo njie Mko vzr video zenu znaonekana vzr na kipindi kizur saba kweli fundi kama fundi
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Asante sana Khadija…tuendelee kuwa pamoja mate.
@teamgachi2004
@teamgachi2004 Год назад
Lawama siwende Kwa wote wasanii na na hao wavalishaji maana wote wanausika
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Basi sawa😅
@teamgachi2004
@teamgachi2004 Год назад
Nimeanglia vipindi vyte viwili zaid ya mara 10 na Kuna kitu nimekpnda kwenu kwanza mko Vzur sana naomba kipndi kinachofata Msiache kuwaambie ukweli wadada wanaovaaa uchi kwenye video zao wasanii na huku wasanii wenyewe wamevaa vzuri tu
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Asante sana kwa ushauri na mapendekezo. Kwa hakika tutayafanyia kazi.
@khadijahassan1946
@khadijahassan1946 Год назад
Haunishind mimi nimeanglia zaid ya mara 50 na sichoki
@mohdzotv2676
@mohdzotv2676 Год назад
Safari imeanza Rasmi✔️
@teamgachi2004
@teamgachi2004 Год назад
Ila njie afroswagga kwann hiki kipndi msipeleke media Kubwa sana maana sijaona hapa bong kitu kama fundi media njingi zmejaa kwenye interview na kusifia ujinga ila Njie mko tfaut sana niko pamoja nanjie Kila mahal❤️🌟
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Asante sana mate! Taratibu ndio safari imeanza hivyo. Asante kwa ushauri na kuwa pamoja nasi💐
@kalangahusseiny3501
@kalangahusseiny3501 Год назад
Ila jmaa kama fundi kweli hivi naombeni mniambir huyu ni fundi kweli au
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Ni mjuzi na mjuvi wa haya mambo. Endelea kutufuatilia katika vipindi vijavyo.
@kalangahusseiny3501
@kalangahusseiny3501 Год назад
tunaomba muwe mnafnya Kila siku jamani kipndi kizur sana nimekipnda kwa sababu mmefnya kipndi kizur na idia nzur sana 💯
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Asante kwa maoni yao Kalanga, tutajitahidi iwe hivyo.
@mohamedtamla826
@mohamedtamla826 Год назад
daah nimekupenda mtangazaji kwa sababu ametulia anaongea kwa mpangilio na anajua anachofanya kiukweli huu fundi ni moja ya kipindi kikubwa sana
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Asante sana Mohamed.
@janethbendera7286
@janethbendera7286 Год назад
Jamani modizo nimekupnda bure jaman kama fundi kweli kumbe mmmmh
@teamgachi2004
@teamgachi2004 Год назад
Nakuona mbali sana Kijana Wangu modizo maana unafnya kitu Bora sana na Kwa hili nasema kipndi Kiko Bomba kipndi kifupi akichoshi alafu kinaeleweka naomba muendlee kuwaelewesha wasanii wetu maana kwenye swala la mavazr hawajielwi jamani
@modomidundo
@modomidundo Год назад
We kijana unyama sana dooh so poa mzee wangu creator umetisha 📌📌😁😁
@teamgachi2004
@teamgachi2004 Год назад
Umeona eee hyuu jmaa bwna au basi sema nimerudia Hii Kitu Zaid ya nne sasa nasema kipndi ni homba
@sirvesterndahani5638
@sirvesterndahani5638 Год назад
kazi nzur sana hongereni
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Asante sana
@khadijahassan1946
@khadijahassan1946 Год назад
Ila uongo dhambi kipnd kizur japo kuna vitu mnatakiwa nyingine Kama izo picha za gigi htuzuoni
@afroswaggatz
@afroswaggatz Год назад
Asante sana kwa maoni yako, tutayafanyia kazi katika vipindi vijavyo.
@mjofusaimon6205
@mjofusaimon6205 Год назад
Ulipo tupo kaka fundi Kaz nzur sana ila alie edt mbona hajatuweke izo pcha za Gigi jamani daah ila kipndi kizur sana
@mohdzotv2676
@mohdzotv2676 Год назад
TumeWasha sasa 🔥Afroswa