Nawapenda Sana afroswagga maana nimeamua kuja njie kama njie hamkutaka kukop na kupest kama vipndi vingi vilivyo njie Mko vzr video zenu znaonekana vzr na kipindi kizur saba kweli fundi kama fundi
Nimeanglia vipindi vyte viwili zaid ya mara 10 na Kuna kitu nimekpnda kwenu kwanza mko Vzur sana naomba kipndi kinachofata Msiache kuwaambie ukweli wadada wanaovaaa uchi kwenye video zao wasanii na huku wasanii wenyewe wamevaa vzuri tu
Ila njie afroswagga kwann hiki kipndi msipeleke media Kubwa sana maana sijaona hapa bong kitu kama fundi media njingi zmejaa kwenye interview na kusifia ujinga ila Njie mko tfaut sana niko pamoja nanjie Kila mahal❤️🌟
Nakuona mbali sana Kijana Wangu modizo maana unafnya kitu Bora sana na Kwa hili nasema kipndi Kiko Bomba kipndi kifupi akichoshi alafu kinaeleweka naomba muendlee kuwaelewesha wasanii wetu maana kwenye swala la mavazr hawajielwi jamani