Kule kwetu tulipokuwa watoto tulikuwa na imani kwamba ukiona kiota Cha ndege vichakani ni mwiko kuzungumzia kuhusu kiota hicho ukiwa karibu na moto ndege atahama. Huyu Nnape kamzungumzia ndege motoni! Wenye ndege wao hawakubali! Hawakubali ndege wao aondoke, bora aondoke yeye.
Bwana mchangiaji kwanza hongera ulikuwa unawafuatilia vizuri sana hawa watu yaani utafikiri mh rais alikuwa kwenye vichwa vyetu na bado baadhi yao arobaini zao zitafika tu
Kama ni vita ya Yemen na Israeli matusi ya nini kwa waisilam huoni unaeneza chuki hapa nyumbani Tujiepushe na uhasama ambao hauna msingi kwanza wazayuni wana dini yao tofauti na ukristo Kama ni ushabiki wapigwe wayemeni au wapigwe wa Israel
Yemen wameruha Dron 200 tanguy vita imeanza leo wamejibiwa na ndege 12 tu. Tene ndege za kiwango cha chini Yemen itakuwa majivu wakigusa tena mkia wa simba
Hehe hehe 😜 Israel sio taifa la mchezo nadhani dunia isome history hili taifa hata wangeungana wote bao atawashinda wamejiandaa tanguy siku wana pata uhuru leo unawafanya nn dunia nzima wametapakaa na wana heaven zao kila taifa yaani Yemen wamegusa taifa la masimba kitalacho wapata wataaimulia vizazi. Huu ni mwanzo
Watukanaji hawataingia mbinguni....Achana na huu ugomvi mtafute Mungu umalize safari Yako salama hapa duniani....Acheni dhana za zamani usitukane kama mtu asiye na Elimu na wakati umeelimika mpaka unajua kutumia simu janja