Tukitoa msiba huyu MR NANA ni msanii mkali sana ambaye hajapewa nafasi kwenye media, Kafanya wimbo na RICH MAVOKO, BARAKAH THE PRINCE na BEKA FLAVOR miongon mwa KASSIM MGANGA ila bado akabaki kuwa underground
Sidhani kama kuna mtu ata mbeza huyu jamaa,labda awe mwenda wazimu ndo anaweza kumbeza jamaa,chamsingi nikumfariji tu.Mungu amtie nguvu,one day they will meet again in paradise.pole sana.
Pole san kaka najuwa unayopitia 😩😴💔 allah akupe subra kwa wakati huu mgumu usisahau kumuombea dua n kumtolea swadaqa maana hyo ndio chakula chake pkee😢😩😭kuondokewa kubaya huyu kaka alimpenda marehemu Dida kikweli sio ati alipenda pesa niurongo mapemzi ya kweli yajulikana huyu alimpenda kutoka moyoni 😢😭💔nalia kila ninapomuona huyu kaka anavyolia😢