Makir online tv ni Channel inayokuletea matukeo mbali mbali ya kijamii yenye kuelimisha na kuburudisha pia, ikiwemo mawaidha hafalat, semina, dua na hata matangazo ya biashara
Tusiwe na chuki na husuda kwa binadamu, ni dhambi sana. Huyu Sheikh Alhad anaelezea hali ilivyokuwa kwani kosa lake nini? Waislam tusimame kwenye kumwogopa Mwenyezi Mungu. Hakuna baya alilozungumza. Tujenge umoja siyo chuki miongoni mwetu. Tupendane sana
Je, na hiyo Kumwaga Mafuta afu Watu wapite Wakiyagantaga imethibiti Wapi (Hadithi/Aya gani)?! Kufanya hivyo (Kumwaga Mafuta) sio Ufujaji/lslafu)?! Kwanini msiwagawie wakapske Majumbani kwao?! Kumwaga Mafuta Ardhini/Sakafuni ni Uzushi (Bida'a), ni Miongoni mwa Ufujaji/Islafu (Mbinu/Hila) huzitumia Shaiytwan/Ibilisi Kuwapoteza Waja Wakufuru Neema za Allah. Kumwaga Mafuta/Maji na Kuwaamuru Watu Kuyakanyaga Mafuta/Maji ni sawa na Kumwaga Chakula afu Kuwaamuru Watu Wale hicho Chakula, Kwanini msiwagawie Watu hicho Chakula wakule?! Hiyo Mbinu/Njia mnayotumia haukubaliki ktk Uislamu.
Yani hadhara hii na iyo stori sijui vinahusiana na nini yani ili iweje ata kama kweli ulichozungumza ni kweli lkn mantiki Yako nini kwamba sbb ya mufti kua mufti ni ww au la!?
Alhadi Musa anajua Siri nyingi sana za bakwata na hawezi kuizushia uongo na akitaka kuwaumbua anaweza vizuri sana ila anawastahi tu Kwa ajili ya kuepusha fitina
Kwasasa angetakiwa anyamaze kimyaa sana kufanya hivyo itafanya baade watu wamfikirie lakini mndengereko wengi wao baadhi wanapenda sifa sana nilikuwa nae jamaa 1 masjidi fulani pale yombo ye alikuwa akiswalisha tukitoka masjidi tu anawauliza watu vipi waonaje kisomo changu kilivyotulia nasauti yangu akitoa ghutba hivyohivyo. Subhanallah akisoma hiyo qur,ani utadhani anamaliza kumbe ndianaanza هاذا ليس صحيحا ابدن
Kwa maana hiyo mlifanya dhulma ya kuwanyima haki yao ya kumchagua Mufti wanaemtaka tena kwa kuuvunja utaratibu kimakusudi kabisa, Dah! Nashindwa kwenda moja kwa moja kwenye hukumu maana sina Elim hiyo ila hili limefanya nimesikitika mno kwenye hili… Nazidi kuamini kua swala hazitowsingiza watu peponi🙌🏽
Nyie woote mnaocomeent mkimfatilia uyu jamaa ana ish kwa kiki sana yani hkubali km sio shekhe alivyokua shekhe alitumia maharaka vibaya sana ivyo uwez kuongea ujinga uuu yani mfano ccm ilivyo mpata rais wake atekee mtu aongee ujinga km uuu ni sawa ?alimcrash shekhe warid aliposema shekhe unaefundisha na mwenye imani bastola yanini au unawezaje kua mtu wa madili anaetaka passport wewe upo uyu ni shekhe au mpiga alijibu kwa uchungu sana nilivyoona ivyo tu bas nilijua Hana hekma na uyu angekua kwenye siasa bas angeama haraka na kuamia chama pinzan nivile dini ni moja tu awez kuriitad labda awe chizi kabisa