Choyo cha mume wangu hanisaidii mpaka nimesafiri oman kutafuta pesa ..lakini kila nikisema nampa pesa mzee wangu basi inakua analeta list kubwa vitu vyengine sina uwezo navyo kwa wakati huu nikimuweka anijengee asimamie basi bili huwa kubwa nishindwe
Yaani mkwe wangu kazidi mpaka ugomvi basi anamwambia mwanawe ikifika kwako mkeo akileta maneno maneno nataka nisikie nipigie sim bila ya mkeo kujua...nahisi ananizalilisha kweli
Mm nahisi ipo haja ya kuwekwa washaur nasaha Kila wilay ambao watashuhulikia masuala ya ndoa, maan changmot nyengne si za kupelekan mahakaman ni za kupata ushaur tu
Dah ama kweliii mtu ni kidole,,, nampenda sana salim othman kila cku nasikia sauti yake2 ila leo ndio mara yangu ya mwanzo kumuona kwa suraaa ..... nampenda sana mr huyuuuu big up boy