WAKILI TV, ni Television ya mtandaoni (Online TV) inayomilikiwa na Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), kwa lengo la kutumika kama njia ya kutolea elimu, muongozo na tafsri ya sheria kwa wananchi na wadau mbalimbali ili kuwapa uelewa wa sheria katika lugha nyepesi na kuifanya jamii iishi kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ya Tanzania.
Haya Yote ni kugombania mali Aneth angejua angeacha asingegombania ila YESU Wewe ingiilia kati Sisi hatujui Wewe Unajua KAZI kwako usinyamaze Mpaka Senti ya haki ya mwisho Hizi roho mtetezi Wa wanyonge Sisi hatujui Wewe upo KAZI Hizi ndio unazozipenda Ili ujidhihirishe waliohusika wawe kama wamehuni wamohabu na WA mliman sehiri Sisi ulituka KUOMBA Wewe kutenda KTK Jina la YESU amina
Kiukweli we binti umekosea sana,hatakama ulitendewa hivyo hukupaswa kumuanika hivyo mheshimiwa,kwanza umemzalilisha mwanamke mwenzetu ambae nimke wake,nikitendo cha kuyamaliza hukupaswa kuyaweka hazarani,sasa nakupa pole umetafta vita wewe.
Binti Yuko speed sana unadai umezalilishwa kujianika Kweny makamera hivi je unahitaji msaada wa fedha any ways sijajua lakini Kuna mambo yakifika Kweny sura flan ni kama maji yakimwagika hayazoleki
Mungu yupo pamoja nawe MH Boniface mwambukusi wakili msomi mwenye uelewa ktk shughuli za kuielimisha, kuifundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe kinachojiri nchini kwetu Tanganyika, spana zinawabana Kwa ajili ya manufaaa ya wananchi waliowengi wameanza kuyaelewa hayo unayoyasema 🙏🙏🙏🙏🙏
Wakati mwabukusi anapiga kelele kuhusu bandari, ngorongoro, mtu kuingizwa chupa haja kubwa na mengine mengi tulikuwa wapi mbona hatukukuona Leo hii unataka uchaguliwe ukabadirishe nini
Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.