Asante Dr. Lightness kwa kutoa vipawa vyako kwa jamii. Tunawashukuru waliokukuza na kukusomesha na sisi tunaponea hapo. Mungu akubariki sana Dr. Kaale wetu.
@@evjohnshalom419 Logo png iliyowekwa juu Kulia. Napendekeza logo iliyopita. angalia video za nyuma Angalia hii. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-DucOHHaRpRc.html
Baba Askofu Mungu akutunze, aendelee kukufanya chombo chema cha kuhubiri Amani na haki. Usikae kimya, maana ukinyamaza mawe yata sema. Umesha timiza wajibu wako na wala dhambi haiko tena mikononi mwako.
Hongera sana mhe Baba Askofu Dkt. Fredrick Shoo kwa kuchaguliwa tena kuiongoza Dayosisi Yetu. Tunakutakia Heri na baraka za Mungu. Hongera pia kwa Mhe. msaidizi wa Askofu Mchg. Deogratius Msanya kwa kuchaguliwa tena kwa kazi hii ya Mungu. Nawatakia utumishi uliotukuka. Dkt. Ephraem E Silayo (Ardhi University)
Hongera sana baba Askofu Shoo kwa kuiongoza Dayosisi ya KASKAZINI kwa kukubali tena kazi yako ni njema nguvu yaRoho Mtakatifu ikuongoze Mungu akupe nguvu na afya njema
Pongezi sana UMOJA DAIMA Hii tuliisubiri kwa hamu, ni kama vile tulichelewa hivyo naamini tutakwenda speed tufike wengine waliopo. Kwa uzoefu mdogo niliona kwa wenzetu nitaleta ushauri na maboresho muhimu. Hongereni mnoo tupo pamoja