Mwachen mungu aitwe mungubhakika sifa nizake amekuponya dada mungu mwaminifu sana nanyakat ngu nazo huwa hazdum kwa uwezo wake akupe uml mrefu wenye mafanikio na afya njema❤❤
Jamani hawa wauguzi sio wote huwa ni professionals, apart from just trying kujishow tu kuwa wewe ni nurse. Muwe muna vaa empathy coz hata nyinyi ni binadqmu and yu know what sickness is. See shida aliompa mwenzie for all her life. Anyway tuseme ni mipango ya Mungu piq😢
Tudadavulie baba kuhusu sheria maana wengi hatujui. Ila binafsi nimefurahi sana wabakajikufungwa maisha,maana walichoka maisha ya uraiyani. Na inaonekana ni wazoefu,pia aliyewatuma wao walikana na hawajamtaja, na binti hajasema hatujui kama walimtaja. Sasa atashtakiwaje hapo vijana wamekubali waende wakafie huko huko pumbavu sana.😅😅
Subhanallah😢....Allahu Akbar 🙌 MUNGU mkubwa jamaaan hakika Allah ashukuriwe daima na milele kwa ajili ya huyu dada....you go through alot Hawa polee sanaa mamy na Allah aendelee kukutia nguvu na uzidi kuimarika vyemaa na uwe mwingi wa kushukuru na kufanya ibada dadaang maana haikuwa rahusi pasipo uwezo wake Allah Azza wa Jallah.