NDIZI MEDIA | Entertainment | Celebrity News | Gossip
Welcome to my RU-vid channel! I am Mr Ndizi, a blogger and journalist specializing in entertainment news about celebrities and artists. I will bring you the latest news about your favorite entertainers that you love and follow. Through my unique videos, you will get exciting and informative entertainment news.
I am committed to working hard to bring my viewers the latest and highest quality entertainment news through my videos. Don't forget to subscribe to my channel so you won't miss any updates on entertainment news.
Kiufupi zuchu alijiharibia pale alipovunja vitu vya ndani vya Diamond baada ya kusikia yale mambo kiukweli pale alijiharibia sana sasalzima hata ingekuwa wewe zuchu alitenda kosa kubwa na ndio maana yakujifanya kumdhibiti mwanaume si hivyo tu zuchu hata kwenye majukwaa hutoa kauli na mpaka matusi kuonyesha udhibiti wa mwanaume amepagawa kama vile keshaolewa hivi nyinyi mnajua kwa nini mama dangote alihamia kwa mond kutoka madale?chukua chuma hicho kwa mmanyema haikubalikagi ujifanye kumtawala mwanaume wa kigoma hapana labda mtoto wako wa kike akamdhibiti mume sio vice versa tatizo la zuchu anajiamini sana kwa mond sijui ni utoto au mond anamdanganya anajiona anapendwa sana ila hilo la uchamungu kama mond atataka zuhura awe mchamingu na ni pamoja na kuacha mziki hiwezi kuwa mcha munggu halafu mwanamziki unatembe uchi kwanza unasemaje mtoto wa kiislamu halafu unamuoa mwanamziki kutwa anahubiri matusi anakaauchi anakumbatiwa stejini na wanaume wasiowake eti mke huyo hapana mke hujihifadhi hakai uchi hadharani kiufupi huyu mama D hamtaki zuhura na ndio mana bado anatoa vigezo
Uyo mwanao hanauchamungu gan anava misaraba na kutoboa pua na masikio na p Diddy kashamzagamua we mma hunamoyo mchafu sana kila mwanamke hafai..kweri kumueshimu mma mkwe ni muimu lkn umezid kuchagua mwisho ataowa jini
Mama nawewe upende zuchu uyo juma lokole iko nakule teya ubwea juyazuchu ila zuchu nimuke mwema muikale musi kilizane uyo ndiyo ana vumilia mutoto wako