Soluhisho ni moja TU kila mwananchi ajitahidi kuwa mlinzi wa mwenzako na akitokea askari au kiongozi Au mahakama inatakiwa kukamata mtu lazima tujiridhishe na tutoe escort Hadi anapopelekwa mtuhumiwa ,wakikaidi ni Bora wapigwe TU bila kujali ni askari au kiongozi
Sasa KWA mujibu WA taarifa ZENU MBONA HAMUONI KUWA NI RAHISI KUWATEGA NA KUWANASA HAO WATEKAJI MBONA NI RAHISI MUNAWASILIANA NAO KWA NAMBA ZAO MUNAWAKOSAJE KUWATIA MTEGONI ATI HAMNÀ UJASUSI HUO BASI TAASISI YENU NI WAJINGA WATUPU WALA SI WAJINGA MUNAJIFANYA TU MBONA MULIMTEKA MFANYABIASHARA FULANI NA FULANI MIAKA FULANI ENYIE NYI
Hivi kwani ni lazima mhangaikie uongo wenu wa uchaguzi mnaogopa nn hasa ebu wacheni askari wafanye kazi yao huko nje mnakokimbilia mnaenda kuomba msaada wa bunduki acha hizo fanyeni wala hamtawawezq nyie mna wenge wenge miye ni chadema ila tumezidi midomo yenu mikavu kwa lipi akutake wewe hata sura yenyewe haina mvuto mtika hapa chadema acheni umbea wa goli la mko o
We nae mchambuzi mpuuzi umesema utaachia kipande ulicho record ambavo umeongea na roma aya kikwapo ukasema utaiachia kipande cha wimbo wake aya kikwapi
kwahapo Roma hajakosea nikwr haupo mtu ambaye alizaliwa nauviogozi Mbarali nakumuchagua ss wanaichi kwahilo mtu yeyote anaweza akaogoza kwahilo hata wao viongozi inatakiwa watumie heshima kama tuvo tumia heshima wanaichi kuwapa umonita au uwachagua
Kwa sababu ndiyo lugha yao wakati wa kuandaa wizi wa kura kwa sababu mwaka mwaka wanafanya waneisha ona ni lugha ya kawaida kwani wanaisema nyakati zote na mahali wanapokutana kuhamashishana wanajikuta wanajisemea. Hata alikuwa anawambia waliokuwa wamegombea yale yalikuwa yamefanyika ni kweli wasijidhanie wao wana cho chote zaidi ya wengine. Ni kweli kabisa ila luhga imeongelewa siyo mahali pake. Je wafanya kazi wa afya wakiwa na syndicate kama hizo mtaishi?