Dah! Ndugu zetu mnafeli wapi? Maana yule mpuuzi wa Lubumbashi anaendelea kututukana mitandaoni kuwa ametupiga mpunga, mara tena huyu nae anazuka,,,hivi mnakwama wapi?
Uzarendo nini? Au nini maana ya neno uzarendo? Mungu alipo iumba dunia vyote vilivyomo akaona dunia haijakamilika akamuumba mwanadangu akampa akili,ufaham,nafsi na moyo ili kutofautisha mwadam na viumbe hai vyote na ili kulijuww jema na baya hivyo bas selikali msitupotoshe wanainch eti kwakuwa mmeshika dola na hiyo tabia ya kusubili mtu aongeee na nyiyi mnakuja nyumayake mmefeli jiamini na kazi yenu tuliwachagua ili muipngoze nchi vyema na siyo tangulia nakuja
Lisu sio kibaraka Magufuli anafanya manunuzi hahusishi Bunge ili apore fedha. Alinunua Bombadia 2 akapewa ndege moja ya zawadi na ameiweka chata ya Rwanda Air.