Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania(TNMC) ni Mamlaka ya Kisheria inayosimamia wanataaluma na taaluma za Uuguzi na Ukunga Tanzania chini ya Sheria ya Mwaka 2010 na kanuni zake (The Nursing and Midwifery Act 2010) ili Kuhakikisha Jamii inapata Huduma iliyosalama.
Mtihani wa leseni ni muhimu sana.Hongereni sana TNMC naona mkazo ni PRACTICE PRACTICE PRACTICE.Hao ndo Wauguzi tunaowategemea.Ushauri mzuri sana kwa wadogo zenu wapractice
Me ombi langu ni wauguzi kuruhusiwa kufanya kazi vituo vya afya pind wamalizapo shule ili procedure zisipotee kichwan sasa wanakaa om kusubria mtihan mpk vitu vinapotea kichwan akija kufanya matokeo ni kufeli mtusaidie kwa Hilo
Kama anabidhaa haswa dawa zimeexpaire Hapana hata Mimi sikubaliani nao tuwe serious tusicheze na Afya za watu Lakini pia kuhusu vipimo vinavyotakiwa Kupimwa basi tuhakikishe wataaluma kada husika tunao mi si muumini sana wa short course za upimaji. Japo kuwa kwenye kutoa majibu inategemeana na level ya elimu ya Muuguzi husika maana us nurses tunaweza kutoa tafasili nzuri zaidi ya majibu muda mwingine kuliko hata CA Good job muendelee haswa katika kuimarisha ufanisi nawala si kufunga tu.
Hiv kazi za uuguzi mbona hatuoni hata post ya ajira tumekaa tu na leseni zetu tunazunguka nazo hata ajira portal sijawah kuona wanatangaza ajira zetu maana yake nn mpaka mtu unabak unacheka
Nafikiri huu mchakato wa leseni uangaliwe kiundani zaidi,, leseni iwe inaandaliwa ndani ya kipindi chote ambacho mtu anasoma,,kisha anapomaliza a apewe kama vyeti vingine vya taaluma,, Inachosha sana,ni kana kwamba mtu anasoma vyuo viwili viwili,na kila chuo na gharama zake.
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania ni Mamlaka ya Kisheria iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Uuguzi na Ukunga ya 2010, na Kanuni zake kwa lengo la kuhakikisha huduma zitolewazo na wauguzi na wakunga zinaubora na salama kwa wateja. hivyo Baraza linafanya kazi kwa kufuata miongozo,taratibu na sheria