BINGO ONLINE TZ inakupa updates za burudani na zinazotrend masaa 24 kuwahusu watu maarufu kwenye burudani ya Tanzania . Sisi kama BINGO ONLINE TZ kwasababu tunawafikia watanzania wengi hivyo tunazingatia misingi ya uhariri kwa kufuata:-
-Kuripoti Habari kwa kutoa fursa sawa pande zote. -Kuepuka uchochezi kwa kujiepusha na udini, ukabila na mambo yote yanayoweza chochea uchochezi. -Kuripoti habari za kweli -kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa wafuatiliaji wetu (subscribers na unsubcribers)
Lakini pia kwa Walio subscribe channel yetu -sisi kama BINGO ONLINE TZ huwa tunafuata maoni ya Subscribers wetu hivyo kila mtu ana haki ya kutupa maonii yake na yakafanyiwa kazi. -lakini pia kwa wale wachochezi kupitia channel yetu ambao wao hutumia comments kwenye habari zetu tuna uwezo wa kuwaondoa ili kuzuia uchochezi.
Kwa Nini asiweze,yeye ni binadamu kama wengine waliokuwa matajiri duniani so kilakitu kinawezekana ilimladi yeye(Simba)ajitaidi ku invest....unaijua falsafa ya utajiri ni ku invest sehemu kibao na hapo utaona matunda.Simba anaweza.
Tunataka afande akamatwe na uyo mume nae hakamatwe kwan ndio chanzo kikubwa,,na uyo mdda asikae uko porisi hakuna usarama kwake..wanyongwe mbwaa hao ushaid upo wa video vp wasishugurikiwe
Fungua Maisha Yako Bila Mipaka - Jifunze Bure na Alison! Wengi wetu tunaota kusoma elimu ya juu lakini tunakutana na changamoto za kifedha. Kama umewahi kuhisi kuwa huwezi kwenda chuo kikuu kwa sababu ya gharama, nataka ujue kuwa kuna njia nyingine ya kujenga ujuzi wako, maarifa, na maisha yako ya baadaye! Elimu haijazuiliwa kwenye darasa au chuo kikuu pekee - na kupitia majukwaa kama Alison, unaweza kupata kozi za bure na zenye ubora wa hali ya juu katika nyanja mbalimbali. Iwe unapenda biashara, teknolojia, afya, au hata ukuzaji binafsi, Alison inakupa fursa ya kujifunza kwa kasi yako mwenyewe, ukiwa mahali popote. Hapa kuna sababu za kwa nini unapaswa kujisajili leo: Bure kabisa: Huna haja ya kuwa na wasiwasi juu ya ada au gharama zilizofichwa. Alison ni bure 100%, kutoka mwanzo hadi mwisho. Aina mbalimbali za kozi: Haijalishi shauku yako ni ipi, kuna kozi kwako - kuanzia viwango vya wanaoanza hadi vya juu. Pata vyeti: Baada ya kumaliza kozi zako na kufaulu, utapata cheti cha kuonyesha ujuzi wako na kuongeza nafasi zako za ajira. Urahisi: Jifunze wakati wowote na mahali popote - wewe ndiye unayedhibiti kasi. Usiruhusu changamoto za kifedha zikuzuie kufikia ndoto zako. Anza leo na chukua hatua ya kwanza kuelekea maisha unayostahili! Inahitaji kubofya mara moja tu ili kuanza safari yako: alison.com/affiliate-dashboard? Elimu yako ni mlango wa fursa - usingoje, anza sasa na jenge maisha ambayo umekuwa ukiota!
Cheo chake amekitumia vibaya sana Tena kafanya ukatili mkubwa sana na kwa umri alionao hakupaswa kufanya vile kwa bint mdogo kama yule cjajua kama kabarikiwa kupata mtoto na kama anamtoto wakike avute pcha kama angekua ndo mwanae uleunyama angevulia
Kukomesha rushwa, Peter Madeleka angewashitaki watu waliotaka kumpa rushwa. Kutowa rushwa na kupokea rushwa ni makosa ya jinai. Tanzania haiko serious kupigana na rushwa sabatu kubwa insyowanyima watanzania masikini haki.
Tajiri haitaji mashindano,tajiri hajitangazi,tajiri hajigambi,tajiri haelezei watu kua yeye ni tajiri au anataka mashindano na watu ndio maana hakuna mashindano ya kumtambua nani tajiri kushinda mwingine, Huu ni utoto,ufala.