Hongera sana Mh Rais wetu, kazi nzuri sana Mh Rais wanamoro tunakupenda watanzania tunajivunia wewe Rais na Mungu akujalie Afya njema uendelee kuwatumikia watanzania
Hongera sana sana Mhe Rais. Only with Blessings of Almighty God you can do All this Hard work. I pray for your Good Health so you can do more Good for our Beautiful Nation Tanzania. Keep it up world now start knowing Who is Mama Samia Suluhu.
Ila tunajisahau saanaDunia haiko salama na hatusemi chochote tunaficha ukweli tambua wakati ni sasa atae kumbuka shuka asubui ni juu yake Allah atuokoe na kutunusuru kwa mapenzi yake na uweza wake
Ni Aibu Tanzania kuona Rais Samia akisapoti Mzee Popo Harmonize kuharibu kazi za Diamond na Wasanii wake kwenye youtube na uchawi....Aibu Tz😭❌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
hivi Rais wetu Mama Samia alisomaga mzumbe eti? nakumbuka alitakaga kutoroka shule ila milima ikawa imezunguka chuo na kakaake akamuambie wee Samia kaa shuleni..jmni Samia wetu😂😂
Akuna chochote ujinga na uchawa uliyo kidhili wajinga ninyi mnasapotana vipofu watupu kwanza makonda huko wapi atutakinujinga kama amekufaa aishivyo Mungu ccm itekete kabisa ikawe history kua iliwai kutawala
Tunakupenda Rais wetu karibu nyumbani a Mbingu Tunashida ya Barabara na tuliahidiwa muda mrefu ndangu enzi za Rais wetu Jakaya Kikwete Maombi yetu kwako Mama Ujenzi wa Barabara tunakupenda
Hongera sana sana Mhe Rais wewe una taka wanzawa wafanye KAZI ujue kutoka Wizarani mpaka Tanroads hawataki Hiyo. Mimi nime Teswa kutosha wana tu ita Babaishazi.
Hongera sana sana sana Mama Samia what a hard work for Your people. Where will we Get iron lady like you. Your efforts are too impressive. Mhe Well done job.
hizi Mic jamni mbona zinashida nyingi hvi? kuna matatizo gani na hii mitambo lakini? kila pahali ni kugoma..hivi Ikulu kwann watu tukisema mnaziba masikio? mbona matatizo ya mic yanaendelea kuongezeka kila kukicha?
SAMIA, w/nchi wako wanalia kila pahali...HUSIKIII??? Mbona kelele nyingi kila pahali na huskii mbona? wamasai ngorongoro wananyimwa haki kupia kura na hawapewi maitaji stahiki, watu arusha wamenyanganywa ardhi, watu Mpiji wanalia maana mashamba yao yamechukuliwa na wote hwa wanapigwa danadana na mama upo tuu..
SAMIA, w/nchi wako wanalia kila pahali...HUSIKIII??? Mbona kelele nyingi kila pahali na huskii mbona? wamasai ngorongoro wananyimwa haki kupia kura na hawapewi maitaji stahiki, watu arusha wamenyanganywa ardhi, watu Mpiji wanalia maana mashamba yao yamechukuliwa na wote hwa wanapigwa danadana na mama upo tuu..
SAMIA, w/nchi wako wanalia kila pahali...HUSIKIII??? Mbona kelele nyingi kila pahali na huskii mbona? wamasai ngorongoro wananyimwa haki kupia kura na hawapewi maitaji stahiki, watu arusha wamenyanganywa ardhi, watu Mpiji wanalia maana mashamba yao yamechukuliwa na wote hwa wanapigwa danadana na mama upo tuu..
Big up mh mbunge jonas van zeeland kwa kumkaribisha mh rais katika jimboo letu na kumpa kero zetu mh rais ccm.oyeeeee KARIBU SANA MH RAIS KATIKA WILAYA YETU YA MVOMERO
Hongera sana mama yetu mpenzi kwa kazi nzuri hii,hata baba yetu magufuri huko aliko atajivunia kwa kiasi kikubwa sana kukuachia kijiti. Kikubwa tunaomba sana masigara na mapombe yasiruhusiwe watu wakaanza kutapikiana na treni yetu ikanajisika jamani.
Kwa mm navyo jua maana nimesomea hii koz inaitwa range management n (afisa malisho ) zipo SUA,,chuo Cha sokoine huwa zinapatikana sana kwa wingi chuon kwetu na zaina zote