Karibu katika channel yetu ya Kwaya ya Vijana Keko KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Jimbo la Kusini Dar es Salaam.
Lengo ni kuendelea kueneza injilli kwa njia ya nyimbo kupitia channel hii. hivyo tunatoa wito kwako kuwaalika marafiki wengi zaidi kutembelea hapa na kubarikiwa na nyimbo. Mungu akubariki sana unapochukua hatua ya kuwaalika wengine maana ndivyo unavyoungana nasi katika kutangaza habari njema ya wokovu na injili ya marejeo.
Wimbo ni mzuri ila hapo hakuna uimbaji wa kisabato maana Ngoma zinazokataliwa na roho ya unabii zimepigwa pia matching hizi haziruhusiwi mbadilike hapo mtakuwa vizuri.
Sijui ni kwanini KKKT kama kanisa kongwe halina melody ya kutambulisha nyimbo zake kama ilivyo kwa Wakatholiki na Wasabato. Hata hivyo wimbo huu ni mzuri na una ujumbe murua. Hongera kwaya Vijana wa KKKT. Kazi nzuri sana, mbarikiwe
Mabarikiwe vijana KKKT mm n msabato ila napenda sana mnavoimba yan dah Mungu azidi kuwainua sana hii ndo kwaya sasa❤❤ who's watching untill now 6/9/2024