Bachu kweli ni mdhaifu sana na kila akija public kama hivi tunashuhudia udhaifu wake yeye anakuja kutafsiri na kugona msumari kwa Alsuyuti na tafsiri zake anavyota kwamba yeye kasema ni uongo lakini kumbe huyo Alsuyuti alichukua kutoka kwa Ibn Nuaimu, sasa bado Bachu anatakiwa kueleza Ibnu Nuaimu aliandika uongo? au Ibnu Nuaimu ni mtu muongo? Alsuyuti ni third person kwanini asirudi kwenye second person?
Bachu unacho kitafuta utakipata wewe Huna aibu we siulikimbia mombasa kwa sheikh saida rudi kweke kama wewe ni kidume usikae chumbani kwako unabwata tu nende kwa said
Bushu unatafuta Aibu mara ya pili mada hiyo uliitoa ukajadili kule mombasa na sheikh said wewe Bachu ulikimbia sasa umejifungia chumbani ubaropoko toka nje tukuiti kiboko yako sheikh said akufunze tena kama kweli una elimu rudi kwa kiboko yako sheikh said wa mambrui Kenya uliko kimbia Huna lofoten bachu wewe tapeli utawadanganya wajinga tu hakuna cha suyuti wewe muone sheikh said akufunze dini kwani hujui dini wee
Usiwai funga comments sheikh huwa nafurahi Sana nkiona makhurafi wanahangaika na matusi 😂😂 ni dalili kuwa dozi inapenya 😂😂kama hawaumii wasingetukana .. maswala ya kusoma ibara vizuri,mara kasome ni mbinu za kukwepa hoja ya msingi 😂😂 anyway wacha tuskie DJ atatoka na ngoma gani msimu huu😂😂
Inaonekana Muhamedi kwande hujui hata maana ya neno دابة ambalo limetajwa katika Mawlid Barzanji, hebhu fungua Google ambayo unakawaida ya kufungua ili kujifunza elimu zako kisha tafuta maana ya neno دابة , naona hili umetuekea mpaka Picha ya Mwewe hapo, naona kwenye hili hujataka kumfuata hata Sheikh Google
acha mbwembwe zako bachu ......sisi tutasoma maulid mpaka kundoka duniyani.....wewe kama kweli hunge ondoka kwa kiti ulipokuwa mombasa .....kujadiliyana na ustadh said omar.....hacha mbwe mbwe .....wewe wajifanya usoma wapi kitabu isema utykuna mawali zukaa
Assalamu alaykum vipi hali sheikh Mohammed nilikuwa naomba utuendelezee darsa ya tafsiri ya Quran ulipoishia katika suratul mutwaffifiina (tafsiri ya imamu saad)
Nyinyi watu wa mabidaa masikio yenu mmetiwa risasi bachoo anataka dalili wapi wanyama walisema , au watu wote walikuwa viziwi hawajawadikia mmewasikie nyie tu uchizi mtupu
Jamaaani wenzetu wapaletine kwa niini hatuwazungumziii kama tunavyozungumza mambo haaya Waisilamu tuko waaapiiii Hivi hatuna uchungu wenzeetu wanakuufa tuuu Sie tupo katika kugawana makuundi tuuu Hivi haitokei siku moja tukaaacha tofauti zetu tukawafikiria ndugu zeetu wapalestine na walebanooon Wallah yauma khasaaa
Sawa Sheikh hutaki ushahidi alioongea mtu lakn hapo HADITHI zote ulizotoa kama ushahidi wako NI MENENO YA MLINDA MAKTABA ambayo niwatu wamesema na wewe unataka watu wakupe DALILI na wao watakupa MANENO YA WANAWAZUONI ambazo wewe huyapendi ila ungetoa HADITHI ya MTUME MUHAMMAD (SAW) anakataa jambo la MAULIDI bac hoja ingekua haipo kwao Sheikh mbn unajitekenya half wacheka mwenywe attiii???
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, Sheikh wetu, Muhammad Bachu, Allah akuhifadhi na akuridhiye, Aamiin! Na akulipe siku ya qiamah: Jannah firdaus a' laa, Aamiin!
huu mqubuuri hawezi kutowa jawabu sahihi kwani waliotangulia ma qunuuri kama yeye wameshindwa basi yrye hutumia ujanja ujanjatu , ziko kwenye hadithi sahihi muujiza yamtumwetu SAW kabla kuzaluwa na baada kuzaliwa mpaka kifo chake , kwenye kitabu cha barzanji hakuna ndani haithi na Qurani
Na hao wanao kukashifu waombe mwenyezimgu kwa sababu akili wanazo lakini senses zao zimekufa mwenyezimgu azihuyishe senses zao Amin, wajue uislamu wao.
Maulid malipo Yake Ni WALI au mpunga ukishusha na maji ya tamu baasi hakuna zaidi hasara kubwa kwa yule atakae kosa wali kwisha huyo mana hakuna kingine zaidi si hapa sio akhera.
Sheikh mohd bachu usichoke kuwaongoza umma wa kiislamu mpaka pumzi ya mwisho ndugu yangu, kama babako alivyomaliza daawa mpaka pumzi ya mwisho jaza yako ni kwa mwenyezimgu .
We wacha kutafuta kiki na views Saa kumweka picha ya kiboko yako hapo ndio nini na ulimkimbia Kiarabu chenyewe kutafsiri n shida Ustadhi Izudhin bado yuakusubiria mombasa ukamjibu...😂
Hizi ibara unazikosea sio tafsiri zake .tumekatazwa kutafsiri kwa fikra zetu ..hii ni lugha ya mashairi inahitaji umakini wa hali ya juu ili kuelewa kilicho kusudiwa