Je watoto wa hali ya chinii na wazee wasiyo jiweza jinsi ya kupata elimu ya kupata kadi mmesema tukatie mashuleni makanisani msikitini kenye mashirika mbalimbali lakini ni maneno tu ukienda bima wemeweka miaka 18 - 59
Jamani mbona ni wanafunzi wa chuo tu kuna watoto wanapoteza maisha kwa sababu tu ni mwanafunzi wa shuleya serikali na mzazi ajui pa kukatia bima mnasema tukatie mshuleni lakini utaratibu haupo ni maneno tu watoto wa hali ya chini amtuagalii tunateseka
HAMNA KITU NYINYI NHIF ... HAO MAMENEJA WENU WA MIKOANI HASA MENEJA WA MKOA WA MWANZA HAFAI ... MIMI BIMA AMBAYO NI HAKI YANGU MPAKA LEO MWAKA WA PILI SIJAPATA NA HATA UTARATIBU WA MALALAMIKO HAUELEWEKI ... NIMEUMIA SANA NA NIMEKATA TAMAA NA NYINYI.,
Katika mashirika ya Serikali lenye uhuduma mbovu ni hili shirika, sijui ofisi yao gani ambayo watumishi wake wako active ila Makao makuu ya hili shirika kwa dar es salaam hadi MA file wanapoteza , bora utunze tu control number mana wateja Mara kadhaa hufanya application upya na picha huleta upya , nadhani Masjala yao haina watu wazoefu kabisaaa ni aibu kwa Taifa , Ushauri: Wake wa Viongozi waume zao wawatafutie Biashara za Kufanya na sio kukaa maofisini huaribu saaana kazi na wananchi wanalalamika huduma mbovu saaana, kesi za MA faili kupotea ni aibu
Kwa kweli Mama watendaji wake wanamvurugia sanaaaa hakuna kitu kikubwa kama hospital matibabu ya watanzania hqsa wamama watoto na wazee ni wa kujali sanaaaa
Iko very shallow, mambo mengi hamjaeleza.hizo gharama za vifurushi za 250000 ni kwa mtu mmoja au kwa alio ambatana nao (najali) .gharama ya hivyo vingine hamjaeleza ,mko kama mna tuzugazuga tu, jipangeni mtuelimishe vizuri...
Huyo mama ni muongo anajibu kisiasa, wataingiaje wakati hakuna barua ya mwongozo wowote shule zamisingi huko vijijini. Ukienda shuleni mwl anakwambia hatuna taarifa hizo hii ikoje. Aache siasia
Ishaurini serikali itenge chanzo cha uhakika cha mapato ili kiweze kusaidia hizo gharama zinazo wazidi kwamfano mapato yoote ya mbuga kama ya serengeti yasingeguswa ili yaingie kwenye huu mfuko ili karibia kila m tz apate huduma nzurii.
Kiukweli bima naomba mjitafakari upya bado sijapenda utoaji wenu wa huduma bcz kwanza kujisajili tu ni shidaa sana kila mtu anaongea lake pia malipo kwa hosp za prvt nichangamoto kubwa shirikisheni wadau mbali mbali ili muweze kupata mawazo mazurii.
Mimi ninawatoto wa 3 ivyo viturushi mlivyoweka vya familia garama ipojuuu Sana 720,000 Kwa mwaka Mimi kipatochangu nidogo akiwezi kumudu kulipa iyoela, maoniyangu mrudishie tuu iyoelfu 50400 kwakila mtoto hapo wengi tutaweza kulipia