Hizi double standards mnazozifanya walahi zitawarudia na sumu kali kuzichoma nafsi zenu, ni aibu sana kupuuzia maumivu ya mwenzako. Inanishangaza kuutibu moyo wakati ubongo umekufa tayari. Endeleeni kuongea porojo za kuwabakisha kwenye nafasi mlizopo Mnajichochea kuni za moto wenyewe 😢
Giza lililo gubika Tanzania liligubikwa na nani yeye alikuwa makamu wa rais muulizen rais nani algubika Tanzania msiwe mnapiga vigelegele mnashindwa kuhoji CCM ndio wamefanya nchi hii iwe hivyo nasasa tunaenda kwenye mipasho
Mama myngu atakulindana wanafiki wachawi wanga majambazi wabaguzi mashoga walevi fitina watumwa na hna chama cha kukishinda ccm mpaka nwisho wa dunua waacheni wapige kelele waende kwa mabwana zao waombe msada hawana watakalo pata
Hamna hata haya msamaha hamtapewa msubiri sana. Waonevu wakubwa! Haya mtuambie ni nani anaetuma watekaji? Watanzania sio wajinga tena kenge nyie! Mafisadi wakubwa!