Mimi nashindwa kumuelewa huyu wakili, video zimezagaa kila mwanadamu ameiyona halafu mnatetea ujinga je angekuwa ni mtoto wake wakike kafanyiwa hivyo vitendo angemtetea huyo mhalifu?
Wachambuzi wa Tanzania wamezoea kukariri mani kasema lipi. Timuinashindana na inashinda kwa majini kubwa unaambiwa bado inajitafuta. Na anaejitafuta anaesbinda au anaeshindwa? Hawa ndio watanzania wa madarasa ya kuunga unga.
Jpili itajulikana huwezi kupak alafu uje useme kesho utafanya vizur,shida sio kupak shida ni maarifa baada ya kupaki kama huna d hata moja huwez nielewa
Mnasifiaga makocha wenu pale tu wanapo injia ktk timu yenu asa asa pale wanaposhinda vijimechi viwili vitatu mnaongeaka sana shiti kuisema yanga vibaya ila sasa mkisha pigika tu mnaanza lawama kumlaumu kocha na mwisho wa siku mnamfukuza kabisa mmmh madunduka bwana kama vikatuni amueleweki