Jamaa anarudia mara hamsini "milioni kumi na tatu" Hawa watu wana shida sana asee...ilitakiwa kila mtu kabla ya kuanza kupanua mdomo awe anaonyesha cheti cha kitu anachoongea...misinforming the public should be treated as a serious crime...
Habari ya kwamba Gamondi alitembelea upepo wa Nabi, hiyo si sahihi! Ukweli ni kwamba,Gamond alikuta msingi mzuri,akaanza kuweka vitu vyake bila kuathili msingi alioukuta,Hapa ndipo panahitaji ujuzi wa kocha. Kumbukeni kilichotokea Man utd. Furgason aliondoka pale akiacha kikosi bingwa wa EPL, lakini kutoka siku ile mpaka leo ni hadithi tofauti kabisa!!!
Halafu kuna kipindi kimefanyika Jana kwenye television, unaona wazi kabisa ni kama wamezindua kampeni ya kumfanya FEISAL kuwa mchezaji bora wa msimu " mpeni tu huyo Fei,lakini Aziz ataendelea kuwaumbua uwanjani -- aibu kwenu na kampeni zenu "
Nakumbka enzi hizo tuliambiwa Fedha hizo zitakatwa pole pole kwenye kiingilio Leo nashangaa kusikia Rage anasema manji alilipa zote Mara moja ukweli no upi?