Dada, pengine mngetafuta mtu anayeweza kuzipa majina vizuri simulizi. From last year backwards mlikuwa mnazipa majina vizuri. Sasa mmempa hiyo kazi huyo mwanafunzi anazipa majina kwa tarehe ameharibu kila kitu. Angalia Simulizi Mix wanavyozipa majina.
Shida sio ushamba shida uliambiwa ukabisha ukaleta ujuaji kuna ambao hawapat bahati ya kukutana na watu wlata wa kuwaambia kwamba iki sio sahihi ao tutawaonea huruma sio ww mbishi mjuaji babuu
Ila hii dunia jaman ya Allah atusaidue , sisi tunasumbuliwa na bb mzaa mama tena kamtoa mama sijui msukule kwa sasa sijui walimla nyama tunasukuiwa mambo balaa dada yetu aliugua jaman humtamqn alibadilika alikonda hakuweza kuona vizur ,ila sasa alihamndulillah jitihada za mama mkwe na sasa amekuwa mtu wakusali pqmoja na familia yake ila hata sisi tu nasukumiwa vitu balaaa sasa kaka yetu mkubwa yy ndo bas na alikuwa mtt mzur sana mwenye akili anapata dili za kaz pesa anapata ila wap zinaenda hatujui akili yake haiko sawa miaka nenda miaka rudi hana chochote si watt wala mke jaman ni yupoyupo tu kaka haishi matukio mara amepelekwa mahakaman , police ila anakuwa anatoka ni mungu anamrinda ila shida hatujawah kujua ila huyu bb si mtu mzur yarabby atunusuru amin
Ila nae zubeda alikuwa mbeya sio kila K2 lazima ufatiliy hapo utaishi Kwa Amani ila. Ukiwa unafatiliya kila K2 utaishi Kwa wasiwasi haswa ukiwa na wafanyakazi
Yaani ananikela huyu mkaka mpaka basi anaendekeza mapenzi hadi anakela, anamwamwini huyo mwanamke, wakati mwenzake anamlisha madawa ya kulevya ,kwa kufata hatua kwa hatua
Pumbavu kweli kweli huyo naye hakutakiwa kula wala kunywa kitu chochote kile kwenye hiyo nyumba, kwasababu dalili zote aliziona lakini kwasababu, alijifanya mjuaji na asiyesikia yote aliyomwambia mwenzake