Mungu wakuhani kupitia mlima huo uliona naomba ukanione na mm jina langu na ukanikubule Kwa sadaka ninazo zitoa katika madhabahu zako emungu nisaidie mm nawatoto wangu aminaa 🙏🙏
I am very blessed, nanyenyekea kujifunza zaidi mtumishi wa Mungu bro John kavishe, it's an anointed ministry, MUNGU AZIDI KUJITUKIZA KUPITIA WW, BLESS U 🙏🙏
Huyo msomaji anasoma vibaya kwa kuwa anataka kuaoma kama anahubiri.Huyo mwanaume yuko vizuri ila na huyo mwanamke ana haraka sana.Msaidieni anasome taratibu.Mhubiri anahibiri pole pole yeye anasoma kwa kimbia kimbia na anataka kuhubiri.Arekebishe hiyo atafanya vizuri zaidi
Amen amen najuagamanisha Kwa damu yayesu kristo wanazareti alie hai emungu wa kuhani Musa naomba usinipite mm na watoto wangu na familia yangu yote ya Kenya na warabuni emungu tusaidie aminaaaaa 🙏🙏🙏🙏
Mbona kipindi Cha magufuli ulikuwa auongei ndio nyie wote mafisadi tyu mnataka kufilis radilimali zetu MUNGU awarahan wote ninyi na familia zenu mkafe vifo vibaya.
Kuonana na Putin ni sawa Huenda mkapata akili ya uongozi na kujifunza namna ya kuwa kiongoz wazarendo na kuachana na uuzaji wa vyanzo vya uchumi wa taifa