ST BONGO an East African Lifestyle and Entertainment TV Station currently broadcasting live in Tanzania, Kenya, Uganda, Zambia, Rwanda, Burundi & Congo on the StarTimes DTT-161 & DTH-401 Platform & StarTimes On Application.
Yaani huyo ni muongo sana yaani hata aibu haoni sasa yeye Ana hela sasa hapo aseme anatafuta mtu wa kuwa nae karibu anataka tena mtu mwenye kipato Kikubwa cha nini mwenyewe element ni la 5000 namaanisha hilo wigi
Sijawahi kuona Rais yeyote yule katika nchi yeyote ile anasafiri na mzazi wake mbona marais waliopita sikuona watembee na watoto wao yaani tuna Rais wa ovyo sana Tanzania
Dr Slaa ni Kiongozi mzuri lakini Sio Bora. Alikuwa na nafasi kuwa Rais wa nchi lakini hana msimamo. Alikumbia CCM kwa kukosa uvumilivu, akahamia CHADEMA ambako kuna tatizo la kukosa Umoja kwasababu ya UMIMI. Hili ni tatizo kubwa la Chadema, na kwa hili hawawezi kushika Dolla, hata CCM ikiwa Mbovu kiasi gani. CCM bado ndio itasaidia Maendeleo makubwa ya Tanzania. WaTz hawawezi kudanganywa na Siasa za Ukanda na Ukabila.