Тёмный
Simulizi Mix
Simulizi Mix
Simulizi Mix
Подписаться
Karibu Simulizi Mix kwa Simulizi za upelelezi, Mapigano, Mapenzi , Uchawi na maisha.. Utaburudika na kuelimika kwa Simulizi nziri zinazokujia hapa siku hadi siku. Subscribe sasa kwa burudani zaidi.

Комментарии
@AliphonceIrene
@AliphonceIrene 27 минут назад
Iki kitu kizuli sn kwakwli
@misstee102
@misstee102 Час назад
Nimelia😢yaani mahalifu wachinjwe kabisaa😢
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 2 часа назад
Mh sijui ni nani aliyewaambia kuwa,mapenzi ya kweli yanakuwa na mtu mbadala wa kuyafunga kamba😂😂😂😂 ahh,Vero utalijua jiji,
@sharonnyabeta5134
@sharonnyabeta5134 3 часа назад
Nzuri .
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 3 часа назад
Wazazi wa Happy ni watu wabaya sana wasio na shukrani wala utu na Vero ni kidudu mtu kweli,anadhani mapenzi ya kweli yana mbadala,atashangazwa na matokeo yake
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 4 часа назад
Mh mapenzi ni mziki mzito kweli kweli,panahitajika msimamo mzito kati ya wawili wapendanao,ila Vero😂😂😂😂Mungu anakuona
@ROSEROBERTROBART
@ROSEROBERTROBART 4 часа назад
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@AnastasiaKilonzi-d3y
@AnastasiaKilonzi-d3y 5 часов назад
Asante kaka felix
@priscillahsirya6544
@priscillahsirya6544 5 часов назад
❤❤❤❤❤❤
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 5 часов назад
Du,unakufa ktk harakati za ubakaji sijui utakuwa mgeni wa nani😩
@rizikih6898
@rizikih6898 6 часов назад
Mimi riziki
@Mapenzisafari-lj1mo
@Mapenzisafari-lj1mo 6 часов назад
😊😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SayiSamwel
@SayiSamwel 6 часов назад
mbona shemeji deus alikuwa na roho mbaya hivyo
@SayiSamwel
@SayiSamwel 6 часов назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@KhadijaKajoli-wm5rc
@KhadijaKajoli-wm5rc 6 часов назад
Mambo nimatamu nimejuwatu kwatabiya za uyo aisha wasasa siyeye kabisa aisha wetu❤😂🎉❤😂🎉ongera sana salma r ramadhani nasmimuliyaji twawapenda❤🎉🎉❤❤
@Daushysalim7350
@Daushysalim7350 7 часов назад
Jaman mwenzenu nlipotea, cmulz yaendelea lkn nmeacha kuckilza mana xehem ya 3 cjaiona na naona leo imefika ya 6 what's happened
@mwidadisalim6686
@mwidadisalim6686 7 часов назад
daah umenikusha campten chui mchafu mzee wa kipande cha ngozi ya chui,
@ZuraissaMuemedi
@ZuraissaMuemedi 7 часов назад
Team dax
@maseleenaesleen8149
@maseleenaesleen8149 8 часов назад
❤❤❤❤🎉
@RuqayaHamza
@RuqayaHamza 8 часов назад
Duu hatari kweli hii Dunia inamambo mengi Asante hakika tumejifuza mengi
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 8 часов назад
Mhm,sasa mwl.mzima unasikiliza historia ya upnde mmoja tu,unaweza kutatuaje matatizo ya wanafunzi mliokabidhiwa kama wazazi,mwl nae anakuwa kama mwanafunzi tu inaudhi sana
@nurafedrick378
@nurafedrick378 9 часов назад
Hakika walizulumu family yawatu vibaya wakafikiri wamemaliza mchexo kumbe ndo kwaza kumekucha hiza analipa kisasi lkn naona anampenda mtoto waadui wake sasa itakuajee??
@nurafedrick378
@nurafedrick378 9 часов назад
Kwaza sijawai kuona huo upupu jamani nasikia tuuu
@aminamhina9129
@aminamhina9129 9 часов назад
Nice
@nurafedrick378
@nurafedrick378 9 часов назад
Kumekucha sasa aisha ndo rayaa sasa kumbukumbu alitolewaa asikumbuke kituu aisha fake AKA brendaa kaxi anayoo huyu soph naye mmmmm ninani
@nurafedrick378
@nurafedrick378 9 часов назад
Yan kilamtu fake kumanisha huyu mwantumu hana mtoto huyo aisha niwanani yani vituko kweli
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 9 часов назад
Hii tabia ya kupokea simu ya mtu mwingine awe mumeo au mkeo sidhani kama ni sahihi
@saumurajab7542
@saumurajab7542 9 часов назад
Thanks❤❤❤🎉🎉🎉
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 9 часов назад
😅😅 Ila Ankojay,hongera sana ,hakika wewe ni tajiri wa sauti za kila aina 😂😂😂
@AnnaMelikion
@AnnaMelikion 10 часов назад
😂😂😂 Alooooooh upupu kiboko.uliniwasha nikiwa machungani..mwili mzima uligeuka mwekundu kwa kujikuna🙌🙌
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 10 часов назад
Ni muhimu sana kuifahamu historia ya mahusiano ya mpenzi wako kabla ya kuanziaha mahusiano na wewe ili ujue kama anajifariji kwako kutokana na mahusiano yake ya nyuma ili ujiandae kisaikolojia, maana ya kale ni dhahabu siku zote 😅😅😅😅😅
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 10 часов назад
Mhm,ya kale dhahabu 😅😅,wakati mwingine maisha ni kutolea sadaka mambo mengine kwaajili ya kuwafurahisha wengine
@ZainabuMasanja
@ZainabuMasanja 10 часов назад
i like that wawoooo❤❤❤
@fatmamasoud1398
@fatmamasoud1398 10 часов назад
Aaaa upupu ni balaa
@vyaduoj
@vyaduoj 11 часов назад
Jamani au ni mimi tu ndo sielewi September 11 imehisha je ??
@salomewandya7257
@salomewandya7257 11 часов назад
Dah kumbe kiongozi wao ni Mke wa Rais🙄🙄
@SAUDAMOHAMMED-l9v
@SAUDAMOHAMMED-l9v 11 часов назад
Mambo yanazidi kuwa 🔥🔥🔥 jmn❤
@SabrinaAlimas
@SabrinaAlimas 12 часов назад
🔥🔥🔥 daaah nmechelewa ila so mbaya ety😊🥰
@MerryamMukash
@MerryamMukash 13 часов назад
HIVi huyu monica ana kichwa nzuri kweli yaani mtu anaomba msaada wa haraka alf wewe unamwacha na kuaribu unaenda umbali kiac hiki cjapenda hata kidogo anayetaka kumuua anaua tu
@josephatkhamsini9119
@josephatkhamsini9119 13 часов назад
David , David nakuita mara mbili mwisho wako nauona kua mbaya .acha papara
@AnnaMelikion
@AnnaMelikion 13 часов назад
😂😂😂😂ila mahabuba
@zenaathumani8144
@zenaathumani8144 14 часов назад
🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
@zenaathumani8144
@zenaathumani8144 12 часов назад
Mi nilisha wahi kuwashwa miaka ya 81 huko nyumbani kwetu siginda iguguno unawasha uo upupu jamani daaah 🤣🤣🤣🤣🤣 halafu mi naona maupupu yapo Dunia kote hata huku Italy 🇮🇹 yapo kibao 😂😂😂