Ameen napokea uponyaji wangu leo,kibali,nyota yangu, biashara iliyokufa irudi. roho yakukataliwa naikomesha, roho ya mafarakano naikomesha kwa jina la Yesu Ameen asante baba kwa Maombi mazuri ameen
Mimi ni roho ya kurundi nyuma kila wakati kwa uzinzi, uongo, mastebation hizo ndizo vitu sinanisumbua naokoka leo nakaa kaa miezi mitatu inajirundia tena na ndoto mbaya, yesu mwana wa Mungu nisaidie natamani nikutumikie kwa roho na kweli
In the name of Jesus Christ 🙏 walai this prayer is powerful if you have faith mm nmekua naumwa na tumbo but finally nmepokea uponyaji 🙏❤️ mungu apewe sifa milele 🙏🙏 najua ata ashabadilisha ndoto yangu 🙏