TANGANYIKA TV NI TV AMBAYO INARIPOTI HABARI, UTAMADUNI ,SANAA NA MICHEZO KUPITIA LUGHA YA KISWAHILI .TUPO KIVU YA KUSINI ,OFISII ZETU ZIPO BARAKA FIZI NA UVIRA KATIKA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO. KWA MAELEZO ZAIDI TAFADHALI TEMBELEA UKURASA WETU WA FACEBOOK NA INSTAGRAM @TANGANYIKATV KWA MASWALI YA BIASHARA NA MATANGAZO EMAIL : TANGANYIKATV@GMAIL.COM
RIP 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭our hero I still can't believe it
Kila ninapo zisikia nyimbo za Reveil choir usoni kwangu nina machozi inayo tiririka. Mungu azidi kuwabariki popote mlipo na azilaze roho za walio tanguli mahali pema. ❤
Hamtaki tu kujengewa barabara kivipi barabara inaweza kujengewa kutoka bukavu ifike uvira kalundu na Iwe mwisho na mnyamanze tu bika hata kuandamana kuonyesha na ninyi mnaitaji hiyo barabara mnaitaji ifike huko kwenu hakuna fursa nyengine yakujengewa barabara kama hiyo 😮😮 kwani baraka sio congo na mlisha pewa ville ambayo aina barabara ya lami 😂😂😂😂
Nakutakia uwe na siku nyingine hapa duniani mzee General Wiliam Yakutumba sisi wakongo tunakupenda sana Mungu awe na wewe kwa kila jambo ufanyalo ,Amen🇨🇩
Baraka siyo ville, wa ache mzaa. Serikali ifanye miundo mbinu kwanza. Ville gani Aina umeme, akuna Barabara, akuna maji Safi, akuna bandari wala uwanja wa ndege, vitu hivyo na vinginevyo ni jukumu la serikali, Sasa raiya watawekeza kwakuwa wameisha raisishiwa.
Thanks brother Kosto for lifting up the industry of gospel music and for remaining faithful to your Christian calling as well as setting up a very good example for the generation to come .
Hambieni WA chef de secteur na wami wote WA zone ya fizi,wahambiye watu wao wazidi kupunguza baazi ya vitu bei,parcelle moja ya baraka hinazidi bei barcelle ya burundi ,pia serekali yetu ya congo ni serekali ya mchongo yaani ya bwizi,
kwanza raisi felix atimize mkataba hio ambae iliosini la pili atuletee FDLR ambae iliefanya genocide dhidi ya Tutsi katika mwaka 1994 Yani misiwakukubali kua nchi Rwanda inalengo la kukamata ardhi ama udongo Yani sio haki kwa sababu Rwanda ina mifumo rasmi tofauti na hiyo ambae ya kuwasaidia kuimiza majukumu za wananchi pamoja na wamanchi yani ushirikiano waktosha ndo maana nchi yetu haitaki ardhi ingine lakini pia kwa jinsi congo Kila wakati isaidia FDLR inawezekana kuwa rahisi kwa kupeleka nguvu maalum nchini congo kwa lengo la salaam.
Uwongo mtupu, mambo mengi ya uharibifu hufanyika kupitia kanisa, hapakuwa mambo ya Mungu pale Abela bali mipango ya mashetani watusi. Walikuwa Abela kwa kazi ya kuvusha silaha kwenda milimani kwa ajili ya kuandaa balkanisation ya Kongo. Acheni ujinga wa namna hiyo, siri ipo inje