Imarisha Imani Yako Tafuta Imani Yako Tengeneza Imani Yako Linda Imani Yako
Allah (S.W.T) Amesema: “Mwenye kufanya matendo mema akiwa mwanamme au mwanamke hali ya kuwa ni muumini [mwenye Imani ya kweli iliyotulia moyoni], basi tutamfanya aishi maisha mazuri na kwa hakika tutawalipa huko Akhera malipo yao kwa uzuri zaidi ya yale mazuri waliokuwa wakiyafanya” [16:97]
"Naapa kwa zama, Hakika Mwanadamu (Yeyote) yumo katika khasara (ya kuangamia) isipokuwa wale Walioamini (wenye Imani ya kweli iliyotulia moyoni) na wakafanya matendo mema (kwa viungo vyao), wakausiana kushikamana na haki na wakausiana kushikamana na kusubiri" [103:1-3]
"Hakika wale walioamini na wakafanya matendo mema watakuwa na hizo pepo za Firdaus na mashukio bora, watakaa humo milele na hawatotaka kuondoka" [17:107-108]
Tunamuomba Allah (S.W.T) Atupe Mwisho Mwema na Aijaalie Channel hii kuwa ni sadaka yenye kuendelea, Aamin.
وَجَعَلْنَا مِنْـهُـمْ اَئِمَّةً يَّهْدُوْنَ بِاَمْرِنَا لَمَّا صَبَـرُوْا ۖ وَكَانُـوْا بِاٰيَاتِنَا يُوْقِنُـوْنَ (24) ولم تُتلى الآية السابقة في هذه التلاوة. ربما كان هناك خطأ في التحرير
وَجَعَلْنَا مِنْـهُـمْ اَئِمَّةً يَّهْدُوْنَ بِاَمْرِنَا لَمَّا صَبَـرُوْا ۖ وَكَانُـوْا بِاٰيَاتِنَا يُوْقِنُـوْنَ (24) اس تلاوت میں مذکورہ آیت کی تلاوت نہیں کی گئی ۔ شاید ایڈیٹنگ میں مس ہو گئی ہے