FERO SEVEN Ni mtangazaji, mwandishi wa habari na mwimbaji kutoka Kenya na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Kenya punde inapojiri Waweza nipata Instagram, Twitter, Facebook Kama (@Fero Seven) To get our updates kindly #subscribe ,like and share 🙏🙏
Rais ako juu n yy pia Ana heshima zake sasa ww kiwango chako ni cha kuambiwa tew mambo bila uoga juu wewe siyo kiomgozi. Hivyo ni vigumu sana upewe heshima za kiongozi mkubwa kma huyo
😂😂😂😂😂muongo uyo ameshikwa kweli siku ya mwizi ni fody😂😂😂amekula chizi sanaa aseme ukweli mbona anatumia RU-vid ya mtu na account ya TikTok uyo matiriot ni mwizi saitani mkubwa anaona chizi like ajui kitu umbwa
Wrong direction for chizi,, motiryot pavilion alikua amesaidia huyu jamaa bna but all in all akapigana mateke dj niweke teach the world by lucky dube 🤣🤣🤣
@@abelkipkosgei1621 akuna kitu Kaa hio ,tangu watu wajange pesa... alikuwa anafanyia nini hio muda yote ..chzi alifanya vzuri kexema ,c Dhani Kaa angmpa hela,hawa watu n conman akina Bernard korir wakora Xana,sahii ametokelezea wapi nonsense
Sereti chizi niii😢😢😢 takataka shenzi manager wa nini chizi anaweza simamia vitu zake❤uyo matiriot ni mwizi mbona akaiba RU-vid ya mwenyewe mwizi Kabisa Saitan mkubwa hadi umbwa anaeleza vile alijukuwa RU-vid yake ata pesa ya RU-vid anakula maimaaaat kipkoiii weee araget mwizi kabisa
Motiryot ndo unamtuzi hadi unamwiita mwizi ???? May God forbit ..... motiryot usijali God will fight for you ....na next time jizi akutafte usikubali ....wachana na yye
It's all about investment in the industry. It's about the future success of this guy, that is how sponsorship works. Motiryot was spending all this to make a name for Chizi in the industry, to keep him going until Chizi establishes himself. Motiryot was being selfless because he is aware of the potential that chizi has. To be able to do that, you have to believe in a man's talent and Motiryot like everyone of his fans believed in Jeffstar talent. Lakini Jeffstar venye anaabuse drugs I don't think atamake it, not my wish though... I am his biggest fan, don't get me wrong!