ni kampuni iliyosajiliwa na makao yake makuu Dar es salaam, tunajihusisha na shughuli za masoko ya bidhaa za kilimo pamoja na ufugaji, ikiwemo Biashara ya mazao pamoja na nyama ndani ya Tanzania pamoja na nje ya Tanzania
MOTTO : KILIMO BIASHARA NI FURSA
DIRA : kutatua changamoto zote zinazowakumba wakulima hasa masoko ya mazao Yao ili waweze kuzalisha katika ubora na Kwa wingi kupitia njia za kisasa
MALENGO Baadhi ya Malengo yetu ni kama yafuatavyo 1:Kuleta suluhu dhidi ya changamoto zinazowakumba wakulima 2:kuuza vifaa vya kisasa na pembejeo vyenye tija katika uzalishaji wa kisasa 3.Kutoa elimu Kwa njia ya semina Kwa kutumia maafisa Ugani juu ya kilimo cha kisasa 4.Tunafanya Exportation na importation ya mazao na Mazao ya wanyama 5.Tunafanya Farm security ili kuhakikisha uzalishaji wenye faida 6.Tunafanya huduma zote za mifumo ya umwagiliaji
nyie ni wahuni sasa biashara gan unatangaza na husem bei tunakuulizia unasema karbu ofcn, mara tuwasiliane. si useme mnauza bei gan watu tuko mbali mikoan kwan uksema bei dada shida ikowap
@@mwisabimkurya4830 Ukiwa mtu mzima ni vyema ukawa na busara hii itakusaidia, Huwezi ukaweka bei katika tangazo ambalo linaweza kuishi zaidi ya miaka 20 bei zinapanda na kushuka. Uhuni uko wapi umekaribushwa oficin ama tupigie mawasiliano Yako hapo