Gb64 kawa inawezekana tuongee na Tff waturuhusu sisi kama simba tuache kusajili wachezaji wa ndani watuoñgezee tusajili wachezaji wa nje zaidi ya 12.ili ikiwezekana tuwe na wachezaji wa kigeni tu! Maana naona kabisa hii inatokana na huyu GSM.
Tatizo yanga wana laana kwasababu wachawi ni wao fitna ni wao wivu ni wao husda wao na wanga pia ni wao wanaroho mbaya hao co mchezo kazi kunyong,,onyeza wenzao miguu kwa uchawi pumbavu sna
Serikali yote. Yanga kuanzia mama yao yanga mawazili wake yanga mchezaji wa yanga anataka kutoka utasikia amekaa na wazili furan amepewa hela waziri anatumia kodi ya serikali kulipia yanga kweli harafu wanasimba kilaleo mama nyie lini mmepewa ndege lin mmepewa mabas na posho lin mmeitwa ikuru serikali inatimu yake achanen nao
Yani hiilo swala la GSM nilishaliona kipindi kile cha babraa alivyo kataa hiii tff sio watu wa zuri kabisa na wanajua hilo nitatizo lakin wameliacha tu liendelee
Yaani Simba haitakiwi kusajili mchezaji aliyevunja mkataba ila yang'a,Azam...Mpango wa wa Awesu tusiuache,Kuna vitajiri vyeusi vinataka umasurufu wa Simba Kwa visenti vyao.Wanahonga Hadi timu pinzani za Simba.
Kweli kuna mchezo unafanywa na kikundi cha Gsm, yanga walimrubuni Dube na akaonekana Avic town anapga tizi kabla ya kusajiliwa, baadae kweli alisajiliwa na Yanga. Hawakusema mambo ya kisenge kama haya
Asiyekutaka akuambii toka,hiyo ni kampeni ya kutaka kuiondoa SIMBA isiwepo kwenye tasnia ya michezo Tanzania. Maana Simba ni tishio kwa timu za hapa ndani.
Simba inapigwa kila kona, viongozi wa Simba angalieni kinachoendelea Haiwezekani kila mchezaji anaesajiliwa na Simba ndani ya ligi yetu awe na migogoro, Mbona kwa wengine hakuna tatizo hili? Huu udhamini wa timu sita kwa huyu Bwana itaivuruga ligi yetu
Simba ana kesi na kagoma Wala lawi , kama mfatiliaji kweli lawi alimalizama na Simba tatizo ela itoke tarehe 30 Simba katoa tarehe 10 shida Iko wapi, kagoma kauzwa Simba wanaoweka pingamizi ni yanga