TOP TEN KALI CHANEL IS FOR YOU.EVERYTHING YOU NEED IS HERE.SUBSCRIBERS OF THIS CHANNEL ARE FROM ALL COUNTRY ACROSS THE WORLD.KWA TANZANIA TUNATOA KILA UPENDACHO KAMA DAWA ZA TIBA,MAPISHI,VICHEKESHO,SIASA NA YOTE UPENDAYO
Nauli mara nyingi hazieleweki. Kuna wakati Dar to Kgm kwenda na kurudi unalipa tsh 600,000/= muda mwingine tsh 540,000/= kwenda na kurudi. Kipindi kingine tsh 430,000/= kwenga na kurudi. Kwanini nauli haieleweki? Kila unaposafiri nauli inabadirikabadirika, tatizo nini?
Mi Huwa na vidonda vya tumbo vinasumbua Sana pia Huwa sipati choo ata siku 5 nkasema ngoja ninywe maji ya bamia e bana wee nimepata choo Cha kawaida kabisa mana nilikuwa napata maumivu makali lkn sijapata maumivu na tumboni nasikia vizuri nipo kwenye dozi nimalize mwezi 1
Volvo, Scania, Benz, MAN, TATA nk ... Hayo siyo aina ya mabus, hizo ni kampuni ambazo engine zake zimefungwa kwenye mabus, mfano bus la Irizar linaweza kutumia engine ya Scania au Benz nk, hivyo hivyo na Marcopolo, ni mabus ya kichina tu ndiyo huwa yanatengenezwa na engine zake ambazo nyingi ni Dong Feng au FAW
Huyo makufuli hana mali hizo pesa za serikali tu aliagiza hata fanicha akasema za shule kumbe ni zake zakuuuza na hiyo gari Benz al8mpora tajiri ambaye anaishi tanga akamtishia wakati madawa ili achukue kijanja
Mwache awe tajiri. Chapa kazi mkuu wa mkoa. Huyu siyo mkuu wa mkoa tu. Ana kazi nyingi wa wakuu wa nchi. Kuanzia kwa magu mpaka kwa samia. Makonda anatumwa na viongozi kufanya kazi maalumu. Mwacheni