Njombe tv( NJB TV) ni chaneli inayomilikiwa na wananjombe ambapo ilianzishwa Kwa lengo la kutatua changamoto mbalimbali Kwa kutoa taarifa Sahiii Kwa umma ikiwemo kutambua fursa mbalimbali za ajira husasani Kwa vijana na akina mama Kwa Sasa chenelli hii imejikita katika kuelimisha jamii juu ya mabadiliko ya tabia ya nchi ambapo ina angazia shughuli za kilimo zinazofanywa na wana njombe zinazosaidia utunzaji wa mazingira kama kilimo Cha MITI matunda na mbogamboga.
Njombe tv ilianzishwa tangu desemba 2019 baada vijana watano kutoa wazo la kuwa chombo Cha kutoa taarifa SAHIHI Kwa umma Kwa lengo kutambulisha fursa kupitia habari mtandao.
Pia njombe tv kama taasisi ndogo tunaandaa vitalu vya MITI ya mbao na MITI rafiki na Maji kwaajili ya kupanda kwenye vyanzo vya maji pamoja na kuhamasisha jamii kuacha kulima kwenye vyanzo vya maji Kwa kutoa Elimu ya kilimo Cha mboga mboga bunstani za nyumbani www.youtube.com/@njbtv2982
Mimi niko katika chanzo cha maji ziwaninimelima vitunguu maji nikafanikiwa saaana sasa nataka nijaribu kulima vitunguu Swaumu niko Sengerema kata ya Buyagu Mwl nisaidie je natakiwa nipime udongo au nifanyeje???
Kwa kweli mpige kelele hongera Zitto hxli hii ni ngumu na kwa nini kuchukuwa maisha ya watu. Polisi wanemsikia mama yao anayeita wanainchi mbwa, na waliota mikia. Kwahiyo binadamu ni polisi, CCM. Samia ba wachawa wake.
Isiwe ndiyo sababu ya kupata pa kutokea ? Maana utasema nini kama hakuna sababu ya kuongea kwenye mikutano. Barabara mtaongea hapana mazuri yanayofanya mtasifia hapana ni lazima ubuni mambo ili muongee ziwe ajenda zenu ni hiyo mshaipata kwa nini Chadema tu ? Zitto hebu muogope Mungu na uwafahamishe watu wa Wazalendo wa ACT waliyo tekwa au kuuwawa ? Kwa nini Chadema tu hebu tafakari hilo
On this zito kabwe has voice vary loud tanzania citizens have to walking without fear ok they national responsibility of tanzanian police is to protect every single tanzania citizens
Zitto kwanini wapinzani mnapanganyika linapokuja suala la kudai haki za msingi kama hizo. Kama Chadema wamekwenda mbali zaidi kushinikiza uchunguzi ufanyike kwa maandamano. Lakini vyama vingine vinaishia kulaani tuuu, jambo ambalo halijawahi kufanya serikali kuchukuwa hatua !!?? ......Mtaendelea kutoa kauli za kulaani mpaka lini !!?? .....Kwanini msiwe na coliation hasa kwenye haki za msingi kama hizo !!??