Salaam za pongezi toka mwanza 🐟 Hapa kazi tu, kazi iendelee... Baba napenda kujua ukubwa wa hilo bwawa kubwa au hilo dogo kwa kipimo chake! pongezi pia kwako ndugu mtangazaji leo nimekuona ana, siku nying nakskia Tbc.
Mzee Vitus Gerard Hongera Sana Nitapataje namba zako Mimi Niko mkoa wa pwani Chalinze Mzee wangu Nahitaji Elimu yaufugaji Mzee wangu Sekta ya Uvuvi Iko vizuri