East African number one RU-vid channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
Hata ukiwanyumbani mtoto akiamualake analifanya ukiwahapphapo sematu uwenda umechokatu au ushafanikiwa.unalolitaka. ....kwendakuwaonawatoto si vibaya. Ila maishayetu lamaujajipanga utajutia
Nimeguswa sana mno na maongezi ya huyo binti,HAKIKA MAAMUZI YAKE NI SAHIHI KABISA,nimempongeza/nimemkubali vzr sana ktk hili(familia yk KWANZA na utafutaji ufatie)HONGERA sana Rose,Mungu amcmamie familia yake.