Mpaka watu wapoteze Maisha , ndio wahusika na wenye mamlaka hutoa maagizo ya nini cha kufanya. Inasaidia nini?? Mungu awaweke mahali pema waliofariki na waliojeruhiwa awaponeshe majeraha yao haraka . Mungu ndie mtoa yote tuzidi kumwomba atujalie Maisha sisi tuliobaki , Amin
Inahuzunisha sana kwa matukio ya ajali kupelekea vifo, ulemavu, lakini kutokana na taarifa ya mkuu napenda kunukuu imebainika kidhibiti mwendo kimechezewa tangu July sasa swali ni kwamba wenye mamlaka baada ya kubaini walikuwa wapi kuchukuwa hatua leo wanatoa taarifa kujikosha baada ya tukio huu ni uzembe na wao wamechangia.
Jamani kiukwel abilia tuwe makini.japo abilia nasisi tunakuwa hatuna uelewa.mm naweza kimwambie deleva kuwa apunguze mwendo.mwingine atatokea humo humo kwenye gari anasema endelea na mwendo huo huo.sasa hapo kitakach fuata ni makelele na si kupunguza mwendo.namadeleva punguzeni bangi unapo ona upo kwenye chombo cha moto.
Hivi swala ni bango aj ni madereva kuwa makini kwa sababu huyo dereva sidhani kama ni mgeni kwenye hiyo barabara. Ni uzembe na wanafanya mashindano ya kwenda kasi. Wapumzike kwa amani na majeruhi nawapa pole.
Ishu kubwa abiria Wenyewe tuwe watu wa kwanza kuwa makin na madereva wetu.haiwezekan kaka dereva atumwagie mizigo yetu mara ya kwanza.alafu tena arudie mwendo ule ule
Kwa upande wangu mm naona sio sawa kufukua mwili uliozikwa tayari. Hata kama kuna utata lakini familia ya marehemu ingemwachia Mungu tu kwasababu kama ni mtu kufariki kashafariki. Ila kufukua mwili uliozikwa sio sawa kwa upande wangu. Kama nimeongea pointless naomba mnisamehe ni kwa maoni yangu2