asante sana je nauliza wale naeuza madawa ya kulevya unajifanya uwaju wauzaji madawa ya kulevya mbona amuwasemi wengine ni mawaziri watoweni kwanza walioko ndani ya serekali ndio tujue yakwamba mnapenda maisha yetu wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika