Ibrahim Mafia Ni bondia mzuri, ananidhamu ya ukweli Ila promotion yake ya MAFIA unaweza kumharibu kwa kumtafutia washindani dhaifu. Bondia Prasitsak Phaprom alikuwa bondia mzuri enzi zake Ila kwasasa sio mzuri tena na ameshazeekani sawa na kua kapigana na baba yake! na anamiaka miwili hajapigana!!. Tuone utofauti wao: Prasitsak: Age - 42yrs, status - inactive since 17/08/22, Rank - nil (no star) Ibrahim Mafia: Age - 22yrs, status- active, Rank - *** Je, unadhani Kuna usawa wowote wa kuwakutanisha hawa baba na mtoto? Tutafutieni Bondia wa kupigana na Ibrahim Mafia ili tuthibitishe ubora wake. Mleteni yule Mmalawi Phiri au Osca Richard.