Habari zenu tumezichoka kwa sababu kila siku zinafanana masisi mapambano hakuna kwenye wamekamata kisha kila siku usalama mdogo unaripotiwa hapo Goma hakuna maendeleo.toweni habari sahihi siyo kutafuta ma vision
Kila siku habari zina fanana vita masisi wazalendo wanapiga alakini hamisi kama wazalendo wamekamata fasi Fulani .na Kisha maneno ya usalama mdogo huko Goma kila siku inatusha Gaza.
Jambo ndungu mtangazaji,kama Rwanda imekanusha akuna majeshi yake katika Arzi ya kongo sawa sasa wazalendo nao waingiye pya Rwanda na kongo iseme pya ni vita ya wao kwa wao
Concernant la libération des prisonniers, il fallait une coordination de Constant mutamba avec d'autres ministères ( intérieur, plan, santé....) pour une bonne prise en charge au lieu de jeter les prisonniers libérer dans la nature pour se débrouiller..... L'inccoordination est totale
Les bantous contre les nilothiques , l'objectif des inilothiques est de forme' leur ampile au pays de bantous (hima) les bantous des defandes leurs patries qui est raison Entre les deux ?
mimi Olivier kutoka burhale walungu miye kama mu Congo ngomani siyezi itika kuongea n'a m23 Congo niya kambambi naiko nawana jeshi yanguvu lakini wangozi wetu njo wana tiya m23 gunvu mamadu alipinga m23 myezigampi juu alikatalaka rushwa wakubwa wajeshi yetu yaleo wana kula rushwa ya m23 sana jomana iyi vita IKO guvu baciye wazalendo bopeke bapange ivita