2024 Mtumishi mmoja aliwahi kwamba yale yote unayotamani watu wasisikie kuhusu wewe, ndio ambayo Mungu anahitaji uyaseme ili wengine wapone kupitia wewe. Ushuhuda mkubwa sana. Ni ushuhuda unaoonesha upendo wa Mungu kwa watu wake. Mungu ashukuriwe kwa wingi wa rehema zake kwetu.
Wapendwa huyu mwanamke Christina ni mama ambaye alikuwa na komesha shetani kila leo sasa huyo shetani yeye kaolewa naye Mungu akurudishe mapema maana utaaibika.
My brother shusho is living in self denial, ati mke wake anamtumikia Mungu,laiti angelijua upande wa pili ulivyo kwamba Kawa kunguru badala ya njiwa wa Mungu,angemuombea arudi kundini kwake haraka sana maana tamaa ya dhambi hakika ni mauti. Christina kwa maoni yangu hamtafuti Wala kumtumikia Mungu that is secondary to her primary anatafuta utajiri sana by any means available on the table. Ni mwanamke hatari na naona anapotea. Pole pastor shusho,usimwamshe aliyelala, Zetu duua lakini
Christian tamaa inamsumbua nahakijiangalia alivo mlembo anaona kama mwanaume huyo ana faida hila mbeleni atajuta anajifanya mtumishi hila hipo siku atamkumbuka mmewe maana ukiwa na yesu moyoni auwezi kuachika kwakupenda mwenyewe bila kuwa na mtu pembenj kuna kitu hila dunia hii mmmh
Hivi wewe unavyotukana. Huyo unayemtukana ni mzazi wa mtu ati. unahukumu ilhali haujui ukweli umenikwaza sana Mungu akusamehe sio makosa yako. Huu ni upuuzi unaandika jamani.