Cont:+255752684041 Program Manager at Adonai Fm Radio 101.7 Mbeya Green City. Channel hii inahusika na kusambaza matukio,simulizi na makala mbalimbali.Kama una simulizi au mikasa iliyokutokea katika maisha yako ya kusisimua tafadhali nipigie.
Nyamaza kabisa hujui lolote kichwa chako kimejaa NYANYA tena zilizooza.Huna hata uhakika ya unachosimulia. ETI kazaliwa kati ya mwaka 1977 na 1978. Huna uhakika.WAKATI Alizaliwa 1974WEWE FUTA HARAKA UONGO WAKO. ETI WAMEANZISHA KANISA LA TAG. MWANDISHI UCHWARA.MLEVI WEWE . USIDANGANYE UMA .WATU WENGINE MNAISHI KATIKA LAANA KWA SABABU YA KUSEMA SEMA UWONGO JUU YA MAISHA YA WATU MISHI WA MUNGU. ETI NILIOJIANA NAYE ASILIMIA 100. FUTA HARAKA MWONGO MKUBWA UNADANGANYA UMA.
Mwongo mkubwa wewe . Eti anatuzo zaidi ya 50 wakati mwak huu ndio ametimiza umri wa miaka 50. Ina maana alipozaliwa tu akaanza kupata tuzo. ???? Umelaaniwa wewe zezeta. Nenda ukauze Nyanya soko la Tandika
Nimependa sauti ya kusimulia manyanya ubarikiwe Sana nakuombea ufike mbali zaidi nashangaa kwanini watu hawajasabribe na kutazama Kwa wingi I'm from Rwanda Manyanya karibu rwanda