Hello, Karibu kakita kipindi cha THE CAREN SHOW, ambacho kinagusa maisha ya watu na historia zao zilizojaa majonzi na huzuni, karibu tujifunze namna yakukumbatia utu wetu na kuyagusa maisha ya wengine kwa namna ya pekee, na tujenge jamii zinazotambua Utu na thamani za watu wake, kuheshimiana, kujaliana na kubebeana matatizo yetu kama nyakati zile ambapo pesa ilikuwa ni uchaguzi baada ya utu, kwa wewe ambae unaitaji kushare story yako karibu sana, na kwa mawazo, ushauri na msaada usisite kutufikia kupitia kurass zetu na mawasiliano yetu, 0717969661. instagram.com/carenmihayo?igsh=ZGV0aTdnMXRzdWJt
Jamani nyie wanaume muwe na huruma acheni dhulma angalieni hata watoto mliozaa, yani hamuoni vibaya 😮na wanawake wenzangu kueni makini kwa kuzaa watoto wengi km mwanaume mkorofi, naamini kipigo cha mungu kitampiga tu huyo baba, mungu akupe nguvu na uwezo upambane na watoto wako
Sasa dada unaomba usaidiwe halafu unataka kufungua biashara ya duka la bei kubwa kiasi hicho duka la vifaa vya ujenzi bora uanze na biashara ya sokoni kuuza vitunguu,nyanya na mboga mboga utafanikiwa kusaidiwa na nyumba ya kupanga tafuta ya bei ndogo pia ili kwa baadae uweze kulipa kodi wew mwenyew
Mama mpambanaji hongera sana, Mungu akufanyie wepesi Mume ni dhalimu huzuni kubwa! Kosa la Mama huyu ni kujisahau afya yake na kusahau kuwahi kuiona nyota ya kijani! Yani uzazi wa mpango
Ila shoga angu unamoyo wa chuma mimi siwwzi walahi sikuiyo aliokukaba ilibidi uwachane nae kabisa kwanza hana adabu anamtukana adi shangazi ako loo misiwezi kwakweli