Mimi nipo kikazi nje napitia manyanyasiko mala vitu vya ajabu ndani kwangu live ila allahu sw ananilinda na 🤲🤲nazidisha ibada kumuomba , Nimelala nikaota meli kubwa ila ile meli imetoka kwenye paki yake inaanza kutembea baharini kwa mwendo mzuriii je inamaana gani shekhe
Sheikh nimeota nafungua milango ambao niyadhabu na mingi na nmeota nafunga mlango wa duka langu pia huku nmechukua mkate mtamu sana kutoka mle dukani inamaana Gani?
Sheikh nmeota nmepewa chupi na mwanamke ambaye anataka nmuoe na tayari niko na mke sasa nmeiweka mahali sitaki mke wangu aione hii ndoto inamaana gani mana huyo mwanamke aliyenipea chupi yake nlimbeba na gari huku tunaongea akidai nmuoe
Asalam aleikhm,, mpenzinwang kaota kaona maji meng akawa nogopa kuvuk ila alipo ona mtu ana vuka anakanyagaa yle maji na yy aka pata nguvu akavuka mbele akaniona mm tukaongozana nikimuongoza njia inamaanagan hii ndoto