Kitu muhimu ni kuchochea huduma ili iwe mara nne kwa siku itafanya kuwa na biashara kubwa hapo stesheni na pembezoni kwa kweli itabadili maisha ya wananchi kiuchumi
Wacha mvua lnyeeshe tuone panapovuja tumeongea sana lakini ccm waziba masikio hawataki kusikiliza wanazani kuwa nguvu ya bunduki na risasi ccm watakaa madarakani vizazi na vizazi wakiwaandas watoto wao watutawale kisultanj lakini hawezekani waangalie Uganda sasahivi kimenuka km Kenya bado kwetu sababu wageni wanatuonea Sana na viongozi wachache ktk serekali
Mikopo tunayokopa kama serikali basi iendane na matumizi halisi na matakwa ya nchi kulingana na tunapata nini,pia elimu ya ulipaji kodi ni ndogo sana kwa watu au uenda hatuna elimu kabisa ,mapendekezo elimu ya kodi kwa sababu ni pana ianze kutolewa tangu mashuleni ili iwe rahisi kwa huyu mwananfunzi kujua mapema kabla yakwenda kukutananavyo pasipokujua, Elimu ya kodi itarahisisha kupata mapato maana mtu atakuwa anajua kwanini. Makadirio ya kodi yaendane na mazingira pamoja na biashara husika
Bidii ya ukusanyaji iendane na nidhamu ya matumizi serikalini..effort yote hii iwe ni Kwa ajili ya Afya,Elimu,kilimo, viwanda nk si kujiongezea mishahara na kawanunulia viongozi magari ya 500m...jmn muwe serious watz wanateseka...
Kikubwa uwe ktk familia yenye pesa tu urubani hakuna ugumu tatizo ni gharama sana hakuna cha ajabu hapo. kuna PPL, PL,SPL,ATPL nk vipengele vyote hivyo uvuke utapata wapi Milioni mia na kitu mtoto wa mkulima. Shida kubwa ni pesa hapo. Unaanzia tanzania hivyo vingine Ethiopia, Kenya na South Africa lazima wazazi wawe njema hapo