Hawezi kuowa sababu ya maaharti ya utajili wake. Shetani akiwapa hela , anawapa na masharti. Pesa ya shetani ni ngumu sanaa. Upande anakupa na upande anakutesa na kukuazikisha. Kama vile kukufanya ulale na wanaume wenzio, kuvaa magauni nakazalika.
Mama Dangote ana mshauri mtoto wake anachokifikiria ni masilaha yao. Kuweka wazi matamainio yake ya atakayekuwa mke wa mtoto wake haina maana anamchukia mtu au anamfunga mtoto wake. Yanayo endeleya kati ya Damond na Zuchu ni vitu vya dunia tuu. Ninavyo soma interviews zao, hawaja zungumza na mama mambo ya ndoa.
Tiffah akipendwa na baba yake imetosha hii familia huwa wanapapatikia matqjiri wqmeshajua anaishi ulaya na ana ndugu ulaya basi ndio maana sasa hivi akili yao wote mtu na mama yake imehamia kenya hao ni masikini waliyoyapata kupitia diamond hawaamini macho yao ndio mana kutwa kumfatilia diampnd huyo mama anasema qnatqka mwqnqmke qsiyevunja ukoo yeye qnqvyowabagua na kusambaratisha wajukuu halioni hilo hapo wanqtqkq zawadi kutoka kwa Tanasha lazima washoboke familia ipo despqrate na zawadi hii kwa tabia zao mtu na mamq yake wamefanikiwa kumsambaratisha queen dqrleen na mond wamepumua sasa hata akina Idd sqntos wqtakuja wachukia tu na hivi wameanza kujaliwa na mond utasikia tu huyu mama na mwanae wanalalamika hapo alipo diamond kashikwa na mama yake sana kila kitu huyo mamq ndio msimamaizi na mshauri wake kutwa utasikia nilikuwa site na ndio mana diamond hawezi kuwa na mjengo wa mana hata siku moja coz nyumba zote contractor ni mama yake hivi mumesahau ugomvi wa huyu mama na zari ni baada ya zari kumshawishi chibu kununua ile nyumba ya south huyu mama akaona sasa madaraka yanamtoka uzuri zari mkubwa alijielewa akaanza kumuachia mama mtu na mume wake wasimamie pesa za mond hapo sasa shamte akaanza kufanya yake mwisho akqpotelea viwanjani hawa watu Esma na mama yake ni hatari hapo Esma hata ubabani kwa hana habari napo coz mama yake anqmuandalia urithi kutoka kwa mond
Unapenda sana kumchomeka diamond na zuchu kwenye issue za Zari yaani huwezi kumpost Zari bila kuwataja hao. Mambo ya Zuchu na diamond yanamuhusu nini sasa Zari?
Every devol has got his Baobab tree...... kila shetani ana mbuyu wake so hapo Diamond amefika.....I am very happy for them honestly love love love from Birmingham Uk ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wewe tu yako kichwani kwako unamuwekea Zari unayoyawaza wewe wakati mtu anaishi maisha yake na wanae. Kwani Diamond akiwa busy na Zuchu inatakiwa Zari maisha yake yasimame?