karibu Katika channel yako pendwa ya Gospel Corner Upate Jumbe nzuri na neno la Mungu usisahahu kusubscribe kulike na kushare kwa wengine. Tutakua na live kila jumapili kwa ambaye jumapili inaweza kukukuta kwenye mazingira ya kutohudhuria ibada. Mungu akubariki sana.
Tunakujuwa vizuri ulisilimu Bukavu Congo sababu ya maslayi ya pesa kwa Kuwa ulikuwa mtoto WA mitaani , Na ukaritadi (ukarudi Kwenye dini Yako ya ukristo) apa APA Bukavu Congo , ndio ukaenda Kenya Sasa Watapeli AO wanaokusikia
Njaa inakusumbuwa pia unachotafta ndo hayo matusi mana kama ham yko ni kujibiwa kila sku si unafanya debates na walimu wa kiislam si uwaulize unakaa chumbani unaulza si utukanwe tu na mie nasema utukanwe tu mana hakuna namna nyengne
Yesu kasema watajiita yesu jamani yameanza hapa Kenya? Mungu wangu in machungu Kristo alisema akuna hata neno moja litapita kabla halijatimia lakini mjue huu ndio mwisho wa dunia
BIBILIA ni mkusanyiko wa Torati, Unabii, Zaburi, na Injili, Quran ni uongo wa Shetani uliokuja baada ya miaka 500 ya kuwapo kwa Ukristo Duniani, Yaani Quran na Uislamu ni kupinga Kristo, kusema Yesu hakufa ni mtu mwengine, ili binadamu asipate kuokolewa kutoka kwa laana ya Dhambi ya Adamu Edeni
MUNGU Ajitukuze Mwenyewe Ndani Yako Na Akuongoze Kwa Mafundisho Yako Mazuri Yanayo Fungua Watu Akili Kujua Na Kufaham Njia Ya Kweli Na Ya Haki. MUNGU Akulinde Hadui Asiku Pate. Anga Mizwe Na Moto Wa MUNGU Ulao Daima Neno La MUNGU Lienee Duniani❤
Mwalimu Francis Ndacha, nilikuwa nimepotea njia ni mwezi mmoja sasa tangu nikujue katika mitandao ya kijamii, hakika umebadili mwenendo wa maisha yangu, karibu sana Bamburi msa
Jee Maana ya yohana 1:1-..............hapo mwanzo Kulikua na Neno nae neno alitoka kwa Mungu nae neno alikua Mungu.......,......., ,, huyo neno akakaa kwetu........................... Tukisema neno ni Yesu na neno ni Mungu. Soma hapo vizuri mtumishi na unajua bila shaka unafanganya watu...
Sasa ndio ukristo unavyofundisha kuwapa wanadamu wenzenu majina yawatu wengine wasokubalika kwa dhana na chuki zenu? Kuita waislamu kwa jumla Al Shabab ndio nini? Hiyo ni laana kwako.
@@Jingajinga64 unajua n Kwa nn ndugu? Waislam ndio walio Fanya mpaka Sisi Wakristo tuanze kujifunza Quran na kuwapeleka watoto wetu Madrasa ili wake na Elimu kamili ya Quran na tukapata Muislam Asie pigana Jihadi Huyo si Muislam Bali ni jina Tu la kiislamu.Mfungo wa Ramadhan wiki ya pili katkat kabla haijafika wiki ya tatu lazima Muislam apigane na makafiri la sivyo kufunga saumu yake ni bure ni sawa na kushinda njaa. Pili ukishindwa kuuwa mtu alie toka Uislam ww pia si Muislam. Uislam na freemasonry n sawa sawa mlango n mmoja wa kuingia wakutokea hakuna ukitoka utauwawa. Sasa ili uwe Muislam kamili sharti umfuate Muhammad anae sema Albadla din fwath-ruhu, Mungu hana mwana, majin n ndugu zetu na tukubali kupigana jihad
Kumbe sababu ya kumchukia mtume Muhammed kwenye Quran haijakubali Yesu ni mtoto wa Mungu huna jipya wewe kwanza hujui Mungu ni nani jana ilisema Mungu wako ni Yesu leo tena yesu ni mtoto wa wa Mungu nenda kasome sadaka zitakutia kichaa